johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,853
- 141,772
Kwa mujibu wa mashtaka katika kesi ya ugaidi waliokusudiwa kudhuliwa ni Lengai Ole Sabaya, Masoko na Vituo vya mafuta.
Hivyo basi kama viongozi wa dini wanajua ukweli wa mashtaka hayo walipaswa pia kumtembelea Ole Sabaya ambaye siku hizi anavaa Rozari na kumwomba asamehe.
Wamkumbushe tu ile Sala ya " Baba Yetu Uliye Mbinguni " Sina hakika kama msamaha unaoombwa ni wa KIIMANI au Kisiasa ila nilicho na uhakika nacho Msamaha huombwa na yule Mkosaji ikiwa ni ishara ya kujutia makosa yake.
Maendeleo hayana vyama!
Hivyo basi kama viongozi wa dini wanajua ukweli wa mashtaka hayo walipaswa pia kumtembelea Ole Sabaya ambaye siku hizi anavaa Rozari na kumwomba asamehe.
Wamkumbushe tu ile Sala ya " Baba Yetu Uliye Mbinguni " Sina hakika kama msamaha unaoombwa ni wa KIIMANI au Kisiasa ila nilicho na uhakika nacho Msamaha huombwa na yule Mkosaji ikiwa ni ishara ya kujutia makosa yake.
Maendeleo hayana vyama!