kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,991
- 17,888
Arusha mji umeharibika sana huu jana nikiwa Club moja hapa jijini wakaingia wanaume wawili ambao niliwahisi vibaya mara nikashangaa wanaanza kupakatwa tena live?
Mwanaume unapakatwaje na mwanaume mwenzako nilivyomuuliza baamedi mmoja akanambia huyo ni mwanaume poa na akasema huku Arusha washaanza kuona ni jambo la kawaida maana hali ya ushoga ni kubwa kuliko hata Dar.
Nimesikitika sana kwasababu sijui Taifa linaelekea wapi.
Usishangae ukiwa Arusha mimi niliyaona Dar tu nimezunguka mikoa ya Tanzania mingi ila naona tatizo hili lipo Dar na Arusha hii mikoa ni too much.
Kwa sisi wazazi tunaoishi mikoa ya Arusha na Dar es Salaam tunapaswa tuwe makini na malezi ya watoto wetu maana Arusha, Dar hili tatizo linakua kwa kasi kuliko hata mikoa mingine Tanzania.
Rafiki yangu mmoja nimweleza akanicheka sana akanambia", unashangaa nini mbona huku Arusha ni kawaida tu?" Mpaka imefikia hatua ya watu kuona ni jambo la kawaida ni hatari sana
Ee Mungu tunusuru
Mwanaume unapakatwaje na mwanaume mwenzako nilivyomuuliza baamedi mmoja akanambia huyo ni mwanaume poa na akasema huku Arusha washaanza kuona ni jambo la kawaida maana hali ya ushoga ni kubwa kuliko hata Dar.
Nimesikitika sana kwasababu sijui Taifa linaelekea wapi.
Usishangae ukiwa Arusha mimi niliyaona Dar tu nimezunguka mikoa ya Tanzania mingi ila naona tatizo hili lipo Dar na Arusha hii mikoa ni too much.
Kwa sisi wazazi tunaoishi mikoa ya Arusha na Dar es Salaam tunapaswa tuwe makini na malezi ya watoto wetu maana Arusha, Dar hili tatizo linakua kwa kasi kuliko hata mikoa mingine Tanzania.
Rafiki yangu mmoja nimweleza akanicheka sana akanambia", unashangaa nini mbona huku Arusha ni kawaida tu?" Mpaka imefikia hatua ya watu kuona ni jambo la kawaida ni hatari sana
Ee Mungu tunusuru