GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,516
- 108,791
Kwa hili la Waziri Ummy Mwalimu la Likizo na hakuna Twisheni Mimi kama GENTAMYCINE naungana nae tena kwa 100% zote tu.
Hivi Wataalam wa Taaluma, Elimu na Saikolojia walioweka Kipindi cha Likizo kwa Watoto ( Wanafunzi ) walikuwa Mazuzu ( Majuha ) kama wengi wenu mnaompinga?
Kuna Mzazi Mmoja hakyamungu kwa Hoja yake dhaifu aliyoitoa kama ningekuwa nae karibu kungetokea mawili ama nimpige Bonge la Mtama kama ambao Fiston Mayele atapigwa na Joash Onyango tarehe 11 Disemba katika Simba na Yanga au nimrukie Kichwa Kikali cha Meddie Kagere ambacho atawafunga Goli Yanga hiyo Disemba 11 pale kwa Mkapa Temeke.
Alisema kuwa Waziri Ummy aache Watoto wawe wanaenda Shule na wasipumzike kwakuwa wengi wao wakiwa Likizo ndiyo wanakuwa Wajinga zaidi, wanaharibu Vitu vya Nyumbani na hunenepa sana na kuwa Wavivu pale Shule zikifunguliwa.
Nami GENTAMYCINE nasema hakuna Twisheni wakati wa Likizo na Watoto waachwe Huru ( Wapumzike ) Kipindi hiki cha Likizo. Kama Mwanao hana Akili hana tu hata umpe Twisheni za kila aina.
Halafu na nyie Wazazi mnaosema Watoto wafanye Twisheni hata Kipindi cha Likizo ili Wasifeli kama Wanavyofeli nyie Wenyewe mlipokuwa huko Mashuleni mlikuwa Mkifaulu Kitaaluma?
Jitahidini Kuzaa tu Watoto wenye Akili.
Hivi Wataalam wa Taaluma, Elimu na Saikolojia walioweka Kipindi cha Likizo kwa Watoto ( Wanafunzi ) walikuwa Mazuzu ( Majuha ) kama wengi wenu mnaompinga?
Kuna Mzazi Mmoja hakyamungu kwa Hoja yake dhaifu aliyoitoa kama ningekuwa nae karibu kungetokea mawili ama nimpige Bonge la Mtama kama ambao Fiston Mayele atapigwa na Joash Onyango tarehe 11 Disemba katika Simba na Yanga au nimrukie Kichwa Kikali cha Meddie Kagere ambacho atawafunga Goli Yanga hiyo Disemba 11 pale kwa Mkapa Temeke.
Alisema kuwa Waziri Ummy aache Watoto wawe wanaenda Shule na wasipumzike kwakuwa wengi wao wakiwa Likizo ndiyo wanakuwa Wajinga zaidi, wanaharibu Vitu vya Nyumbani na hunenepa sana na kuwa Wavivu pale Shule zikifunguliwa.
Nami GENTAMYCINE nasema hakuna Twisheni wakati wa Likizo na Watoto waachwe Huru ( Wapumzike ) Kipindi hiki cha Likizo. Kama Mwanao hana Akili hana tu hata umpe Twisheni za kila aina.
Halafu na nyie Wazazi mnaosema Watoto wafanye Twisheni hata Kipindi cha Likizo ili Wasifeli kama Wanavyofeli nyie Wenyewe mlipokuwa huko Mashuleni mlikuwa Mkifaulu Kitaaluma?
Jitahidini Kuzaa tu Watoto wenye Akili.