TUTUO
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,253
- 2,023
Mpishi hasafiri buddy labda awe air hostUsijali, jiongeze uwe mpishi wa vyakula vya kwenye ndege.. At least utakuwa umefikia nusu ya ndoto yako
Mpishi hasafiri buddy labda awe air hostUsijali, jiongeze uwe mpishi wa vyakula vya kwenye ndege.. At least utakuwa umefikia nusu ya ndoto yako
Tatizo watu huwa wanapenda njia iwe straight, lkn kiuhalisia nature inaweza kukupitisha njia ya ajabu na km hujasimamia maono yako unakata tamaa na unapitea mazimaUsijali, jiongeze uwe mpishi wa vyakula vya kwenye ndege.. At least utakuwa umefikia nusu ya ndoto yako
Wewe ndiyo unakurupuka bila kuangalia vitu kwa mapana yake. Kuna sehemu mleta mada kasema hakuwa serious darasani? Unafahamu fani ya urubani ilikuwa inatolewa sehemu ngapi late 1990's au early 2000's. Uzungumziaje fani nyingine zilizoibuka kama Gesi na watu wakaaminishwa ni hot lakini graduates waliowengi hawajui mustakabali wao hadi sana?Hivi kwanini huwa husomi umetulia mtoto wa kisukuma? Unakurupuka tu! Nasema mwanafunzi akiwa serious na masomo hawezi kukosa kutimiza ndoto zake. Hakuna visingizio. Magenius wataonekana NECTA si vijiweni
Soma vizuri comments zangu na wewe kama ni mwanafunzi pambana ufaulu acha kukaa JF na utegemee kutusua masomo yalosimama kama Physics na Maths.Wewe ndiyo unakurupuka bila kuangalia vitu kwa mapana yake. Kuna sehemu mleta mada kasema hakuwa serious darasani? Unafahamu fani ya urubani ilikuwa inatolewa sehemu ngapi late 1990's au early 2000's. Uzungumziaje fani nyingine zilizoibuka kama Gesi na watu wakaaminishwa ni hot lakini graduates waliowengi hawajui mustakabali wao hadi sana?
Mkuu mungu anakuonaaaKwa ulaya, waliofeli ndo wanaenda urubani.
Sawa geniusSoma vizuri comments zangu na wewe kama ni mwanafunzi pambana ufaulu acha kukaa JF na utegemee kutusua masomo yalosimama kama Physics na Maths.
Nilikua sijasoma sana ila ukinikuta miaka ya utoto ilikua km vile fundi makenika,nna yadi ya magari kila aina ya waya watoto mtaani wanaiba pesa kwao waje wanunue.Uliambiwa usome wewe ukacheza unafikiri nini? Lazima adhabu ya kutokusoma ikuandame. Ungalipata div one A physics, A maths ungeenda engineering tu. Angalia vyuo vya engineering vinavyohaha kutafuta wanafunzi. Rubani kwa taarifa yako ni dereva kama wa Passo ila yeye Passo yake inaruka angani.
Katika elimu kuna slow learner, medium na vipanga. Kila mtu lazima ajitume ili afanikiwe. Wengi huwa tunahangaika na MATOKEO bila kuangalia CHANZO. Kufeli kupo lakini ukiangalia chanzo ni kutojituma. Kuna masomo ya kusoma ukiwa na muziki pembeni na kuna masomo yanataka kujichimbia bila kelele. Inategemea wengi tupo slow learners lakini enzi zetu ilikuwa ni kusoma usiku kucha. Nashangaa kuona sasa hata youtube zipo zinafundisha, unaweza kupata e-books hata pdfdrive.com wanatoa vitabu bure mtu unakalia kuhangaika na ati Magufuli etc. Soma uangaze mbele. Watu wanadai hakuna kazi, lakini kazi zipo ila sasa lazima uwe umetusua kweli anza na form four, six, degree ya kwanza (GPA isiwe chini ya 4) na uhakikishe angalau una Masters ndipo utafute kazi.Sawa genius
Vyakula vyake vitapanda ndege, hamna tatizo mkuu...Mpishi hasafiri buddy labda awe air host
Ulipata division gani weka pass zako hapa.Wakati nasoma A-level, Mkwawa High School (1999-2001) ulipita uvumi kuwa tunasoma PGM tunaandaliwa kuwa marubani lakini leo hii ninafanya kibarua kama mpishi kwa Mhindi Masaki.
Aisee elimu hii ovyo sana.
Kwa hiyo mkuu wote walio na elimu unayosema wapo makazini?Katika elimu kuna slow learner, medium na vipanga. Kila mtu lazima ajitume ili afanikiwe. Wengi huwa tunahangaika na MATOKEO bila kuangalia CHANZO. Kufeli kupo lakini ukiangalia chanzo ni kutojituma. Kuna masomo ya kusoma ukiwa na muziki pembeni na kuna masomo yanataka kujichimbia bila kelele. Inategemea wengi tupo slow learners lakini enzi zetu ilikuwa ni kusoma usiku kucha. Nashangaa kuona sasa hata youtube zipo zinafundisha, unaweza kupata e-books hata pdfdrive.com wanatoa vitabu bure mtu unakalia kuhangaika na ati Magufuli etc. Soma uangaze mbele. Watu wanadai hakuna kazi, lakini kazi zipo ila sasa lazima uwe umetusua kweli anza na form four, six, degree ya kwanza (GPA isiwe chini ya 4) na uhakikishe angalau una Masters ndipo utafute kazi.
MKUU,Unaonekana una stress!bye!
Sasa ww unashauri nn....watu wasitoboe kielimu ka ww....au kisa hukusaidiwa na vyeti vyako..Kuna madogo wamesoma Alfa...Then wakaenda nje...ni wlaikia vichwa balaa ss hvi madalali wa mashamba!wasitutishe kbsaaaa!
Tutishane bank kwenye figures sio mavyeti!
Sasa ww unashauri nn....watu wasitoboe kielimu ka ww....au kisa hukusaidiwa na vyeti vyako..
Atakuwa alizingua huyo....urubani gani unasoma una div 3,4...Ulipata division gani weka pass zako hapa.
Kurusha ndege ni sawa na kuendesha passo? Basi hata kujenga gorofa ni sawa na kupanga Legos tuUliambiwa usome wewe ukacheza unafikiri nini? Lazima adhabu ya kutokusoma ikuandame. Ungalipata div one A physics, A maths ungeenda engineering tu. Angalia vyuo vya engineering vinavyohaha kutafuta wanafunzi. Rubani kwa taarifa yako ni dereva kama wa Passo ila yeye Passo yake inaruka angani.