tusimulie mkuu tuvute Muda kumsubiri huyu mkuu..Tembea uone ,kidogo ifanane na kisa changu katika msitu wa muzani wanakochimba dhahabu 2007
You think what i'm thinking!STORY YA KWELI! DAR ULITOKAJE MPAKA LINDI bila vibari katika honda yako
Haya mambo ya uchawi yapo na yatakupata kama wewe unajishugulisha na kubeba irizi au ni mweupe kwamba huna imani au ulinzi wa Mungu.Daah mkuu story ni mzuri ila umenipa wacwac hivi haya mambo kweli yapo?naona kama unanikatisha tamaa na mipango yangu ya kutaka kwenda kulima mikoa hio ya kusini,ikiwa ww umefanyiwa hivyo je cc wengine itakuwaje?na maeneo yenyewe ya kilimo ndo hayo uliyoyataja, daah uwoga umeshaniingia wajameni.
Hakuna haja ya kuogopa MAPEPO Kama wafungwa katika minyororo, mamilioni ya watu wamefungwa na ushirikina na hofu ya roho wabaya. Wao huamini hirizi na uchawi kujilinda. Hakuna haja ya wewe kufanya hivyo. Biblia inatoa uhakika huu wenye kufariji: "Macho ya Bwana hukimbia-kimbia duniani kote ili aonyeshe nguvu zake kwa ajili ya wale ambao mioyo yao uelekea kwake" (2 Mambo ya Nyakati 16: 9)Daah mkuu story ni mzuri ila umenipa wacwac hivi haya mambo kweli yapo?naona kama unanikatisha tamaa na mipango yangu ya kutaka kwenda kulima mikoa hio ya kusini,ikiwa ww umefanyiwa hivyo je cc wengine itakuwaje?na maeneo yenyewe ya kilimo ndo hayo uliyoyataja, daah uwoga umeshaniingia wajameni.
Akikutag lazima ukojolewe na panya....ww fata mkumbo!Ikiendelea mkuu unitag
hahahaha....ila inaburudishaHii ni stori ya kutunga kabisaa100%, tangu lini mwekezaji akaanza kukamata kuku porini bila kujua ni kuku wa nani? Ina maana wewe mwizi?. Yaani hapo kwenye kukamata kuku ndio umeharibu stori yote na kuonekana kuwa ni hadithi za shigongo
acha ushamba zipo mpk cc 1,000mi sijawahi kuona pikipiki cc 400 unaweza weka picha ya hiyo pikipiki niione maana ka story kamenoga ila ka picha hakuna kaweke nione mkuu