impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,732
- 7,611
- Thread starter
- #321
Mkuu maisha yanazingua unaamua liwalo na liwe lakini mwisho wa siku hali inakuwa mbaya zaidi na umri unakwendaStory ni nzuri ila nilipenda kile kipande yule mganga alivyo kupapasa mat***ko akitak kukufumua marinda..duh hawa wagang wamekuja na mbinu mpya