Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
Umeona eenhh??!!.Na nyumbani umeacha watoto wanakula ugali misumari.
Malipo ni hapa hapa duniani
Umeona eenhh??!!.Na nyumbani umeacha watoto wanakula ugali misumari.
Malipo ni hapa hapa duniani
Hiyo ni kawaida ya Prostitute women, pole mjini shule.Aaargh.... Acha tukose wote. Mi sina tatizo. Atapata mtu mwingine wa kumgharamikia kuvununua. Ananipigia simu sana akitaka nimsamehe nirudiane naye amekosa.
Anatuma texts kila baada ya muda mfupi.... Wenzake wananitafuta wakisema niwe nao.....yaani mwenzake ananambia bila woga....shem njoo basi nikupunguze hasira na mawazo....sina hamu nao kabisa....
Ni mimi mkuu, hao sio watuMkuu pole sana.
Kuna jamaa kwenye uzi fulani aligusia kidogo kuwa watu wa tabora wamemtenda vibaya japo hakuweka wazi wamemfanya nini,sasa nilivyouona huu uzi nikajua ni yule jamaa kumbe sio wewe.
Kiufupi watu wa Tabora ndio wapo hivyo mkuu walishawahi kunitenda pia.
Ni watu wa tamaa sana na kupenda mteremko hii huwafanya kuangukia kwenye utapeli.
Na ubaya wa watu wa tabora wamekaa kinafki yaani muonekano wao na mambo wanayoyafanya ni tofauti kabisa,hii inakufanya ushindwe kutofautisha nani ni malaya na nani ni tapeli hadi ukishapigwa ndio utashtuka.
yes nimekukumbuka mkuu japo hukuweka wazi wamekufanyaje tunaweza kushauriana humu mkuuNi mimi mkuu, hao sio watu
Duh kumbe Zakia ni jina lake halisi,tuwekeeni picha hapa tumthaminishe tuone yaliyomo yamoPole sana kiongozi,mimi huyo Zakia alinipa uroda kwa Buku 10 tu guest moja inaitwa M.M.D na nilitembea bila ya viatu.
Niliporudi tena Tabora nilimfuma O² kama simjui vile.
Sio vizuri kupost picha ya mtu tunaweza kushtakiwa.Duh kumbe Zakia ni jina lake halisi,tuwekeeni picha hapa tumthaminishe tuone yaliyomo yamo
hapana bongo hakuna hizo kesi,au kama unaogopa nionyeshe hata kwa pmSio vizuri kupost picha ya mtu tunaweza kushtakiwa.
itaonekana naleta ukabila lakini nikirejea tabia za watu wengi wa huko, jumlisha alichotendwa mleta mada na lile languyes nimekukumbuka mkuu japo hukuweka wazi wamekufanyaje tunaweza kushauriana humu mkuu
njoo pm tuteteitaonekana naleta ukabila lakini nikirejea tabia za watu wengi wa huko, jumlisha alichotendwa mleta mada na lile langu
Mungu anawaona
😀😀😀😀😀😀Ifanye story of change tukupigie kura
Ee, wataka kunipangia apartment?Upo mboka hapa na wew??
Hebu mpeleke kaloleni akupangie huko!Ee,wataka kunipangia apartment??
HaahaahaaahaaSiku nyingine Hilo rungu lako uwe unaenda kulioshea car wash, lipigwe na pressure ya maji ya baridi kama nusu saa hivi, likitoka hapo limetakata, magirisi yote na maoili yanakuwa yameshatoka
Hebu mpeleke kaloleni akupangie huko!