Nilichosema Channel 10 Kuhusu Mchakato wa Katiba Mpya, Karibu kujifunza

Simu yangu ya mchinaaaa loading .........................................................................................................................................................................................
 
Humphrey Polepole kumbe ni member humu duh karibu sana mkubwa nilitamani sana uje ufanye interview hapa jukwaani kwetu kuna wana ccm wamo humu wejificha kwa ID feki wanasema rasimu walioitengeneza pale dodoma ni nzuri,,watueleze uzuri wao na wewe uwaambie ubaya wake...please bro
baadhi yao ni
_@mwanadiwani
CHABURUMA
MSALANI....

Yes hii idea ni nzuri sana please Invisible ifanyie mambo tuweke mambo kwenye maandishi
 
Last edited by a moderator:
Hatua hii imemalizika. Twende kwa wananchi kabla wenyenchi hawajawavamia.
 
Uzuri au ubaya wa kitu upo machoni mwa mtumiaji

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Katiba hii inayopendekezwa ni ya JAmhuri ya Muungano wa Tanzania? Mambo ya Tanganyika yameingizwaje mle?
 
Hatua hii imemalizika. Twende kwa wananchi kabla wenyenchi hawajawavamia.

Lkn wananchi wameletewa kitu kipya kabisa, sicho kile walichowasillisha kwa Tume ya Warioba.

Hakuna umuhimu wa kuileta rasimu ya Chenge na Sitta kwetu, wangetuletea Rasimu ya Warioba binafsi ningeikubali, lkn hii ya Chenge na Sitta mimi siikubali.
 
Nampongeza Kijana Humphrey Polepole. Mungu amlinde kwa ajili ya Tanganyika, Zanzibar na Jamhuri ya Muungano ya Tanzania.
 
Pole pole unazidi kunifumbua macho. Kumbe hii katiba ya Sitta imezidi kuongeza ukubwa wa koti la muungano kwa kuweka vitu mabavyo havipaswi kuwamo mfano takukuru. maana yake vyombo vya tanganyika vimezidi kuongezwa katika katiba ya muungano! yetu macho
 
Usiwaamini sana wanasiasa
Mimi siamini kama mtu huzaliwa mwanasiasa. Binadamu huzaliwa tukiwa sawa kabisa kwa jinsi Mungu alivyotuumba. Ila binadamu hubadilika kutokana na mazingira aliyokulia au watu waliomkuza au waliomzunguka. Ndiyo maana mtu anapotenda jema anatakiwa kupongezwa. Akibadilika tu tuwe tayari kuchuja. Ila unapokuwa shabiki wa siasa basi huwa unaweza kulishwa vilivyo chacha tena bila hata kunung'unika. Mimi ni mtu mwenye mawazo huru hukubaliana na lililo sahihi na wakati likiwa sahihi.
 
Back
Top Bottom