Nilichokiona sokoni jana kuhusu vitambulisho vya ujasiriamali nilitamani kulia

We hebu waza kina mama wajane wanaouza nyanya au vitunguu au bamia au karoti za 200 au 300 sokoni wanalazimishwa kuwa na kitambulisho cha ujasiriamali si uonevu tu huu?

Hili soko nimelificha tu ningetaja kabisa tatizo ni kuwa ukitaja badala ya kusaidiwa wale wamama wanaouza wanaweza kushughulikiwa mpaka wakajuta

Kibri gani kimewapata watawala nanukuu

"we mama muuza vitunguu kama hutakata kitambulisho cha ujasiriamali keshokutwa nisione ukikatiza hata kwenye geti la sokoni hatutaruhusu ufanye biashara"

Huyo mama alijibu kwa unyonge mno
"Jamani hivi vitunguu hata ndoo ndogo havifiki kwa siku nikiuza simalizi hata sadoline tatu nitatoa wapi hiyo elfu 20 ya kitambulisho vitunguu vyenyewe tunapanga hapa chini ili tubangaize"

"Mama hata useme nini hilo ni agizo na lazima utaratibu ufuatwe" wakaondoka (wapo sita) wakamfata mfanyabiashara mwingine

Nilihisi kutokwa jasho kwa hasira yaani hadi machozi yalitaka kunidondoka mmeshindwa kutafuta njia za kupata mapato huku tuna rasilimali nyingi badala yake mnakamua Wanawake wajane?

Hii ndo sera ya Magufuli?

Huo urais wa wanyonge uko wapi?

Nimeumia sana mtu anauza vitunguu 300 fungu na anauza amepanga ardhini juu ya mfuko wa salfet unamfukuza sokoni kisa ya 20000 na kitambulisho? Mlaaniwe mnaofanya dhuluma wote

Nimeumia mno
Ila cha kushangaza kina mama hao hao unaozungumzia, kipind cha kampen wakipewa vitenge na kofia wanajisahau na kumpigia kura huyo huyo alietoa hayo maagizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha wanyooshwe tu maana hao wakitoka hapo ndio Wa kwanza kumsifia jiwe,kaununua ndege,kajenga reli,sijui umeme Wa Stigler gorge ,n.k,ukiwaambia kuna watu wanaandamana kwa bei ya mkate tu kupanda wanakushangaa halafu Leo ndio waanze kulia lia yaani hapa mpaka wote tutaongea lugha moja,na akili ziwakae sawa,waache kusifia ujinga,na bado.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo 20000 kwa mkupuo wataipata wapi??Ingekua hivyo kila mtanzania maisha yangekua simple

Mfano bima ya afya ya middle hosptal ni 50000 mpaka laki kwa mwaka ingekua ni simple hivyo kila mtanzania angekua nayo kuliko kulipa 8000 au 10000 kila mtu anapougua

Halafu hizo 200 wanazotoa ushuru ni kusafisha masoko na kuyaendeleza huyo jpm wenu anayeng'ang'ania hiyo 20k ya vitambulisho ndo atakuja kuwasafishia masoko na kuyaendeleza????



Sent using Jamii Forums mobile app
Ndomana wakaambiwa wakate vitambulisho kuondoa kero za ushuru ndogondogo za kila siku kwenye iyo pesa wanayolipa ya kitambulisho ndo itafanya kazi izo zote iwe ni kusafisha soko au kuliendeleza msipende kupotosha watu alichokifanya raisi kimekuwa msaada mkubwa sana kwa wafanya biashara ndogondogo ulikuwa mara ushiru usafi mara ushuru wa mlinzi mara ushuru wa kuendeleza soko kila siku ambavyo vilikuwa vinaumiza zaidi sasa havipo kama utakuwa na kitambulisho ninaongea nina ushaidi coz mi mwenyewe ni mfanya biashara soko la tegeta hapa na hakuna usumbufu uliokuwepo mwanzo kabla ya hivi vitambulisho
 
Bora alip 20000 kuliko kulipa 200 mpaka 300 kila siku kama ushuru wa soko

200/300X30=6000/9000 kwa mwez mara mwaka 6000/9000X12= 72000au 96000 kwa mwaka

Ingekuwa wewe ungemshaur nini mama mjane huyu?
Sio kila kitu kubeza ama kupinga tu kuwa mjane hakukuondelei sifa ya kuwa mjenz wa taifa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu Kuna sehemu nyingine hawajaelewa lengo na kauli ya Mh Rais kuhusu hivi VITAMBULISHO,Kuna mtu anabiashara ndogo haijalishi mtaji wako ni elfu ailmuradi usizidi m4 unapaswa kuwa na kitambulisho.sasa utakuta mijitu mingine kwa nafasi ilizonazo inakulazimisha ukate leseni wakati mtaji haufiki m1 na kitambulisho hicho unacho!
 
We hebu waza kina mama wajane wanaouza nyanya au vitunguu au bamia au karoti za 200 au 300 sokoni wanalazimishwa kuwa na kitambulisho cha ujasiriamali si uonevu tu huu?

Hili soko nimelificha tu ningetaja kabisa tatizo ni kuwa ukitaja badala ya kusaidiwa wale wamama wanaouza wanaweza kushughulikiwa mpaka wakajuta

Kibri gani kimewapata watawala nanukuu

"we mama muuza vitunguu kama hutakata kitambulisho cha ujasiriamali keshokutwa nisione ukikatiza hata kwenye geti la sokoni hatutaruhusu ufanye biashara"

Huyo mama alijibu kwa unyonge mno
"Jamani hivi vitunguu hata ndoo ndogo havifiki kwa siku nikiuza simalizi hata sadoline tatu nitatoa wapi hiyo elfu 20 ya kitambulisho vitunguu vyenyewe tunapanga hapa chini ili tubangaize"

"Mama hata useme nini hilo ni agizo na lazima utaratibu ufuatwe" wakaondoka (wapo sita) wakamfata mfanyabiashara mwingine

Nilihisi kutokwa jasho kwa hasira yaani hadi machozi yalitaka kunidondoka mmeshindwa kutafuta njia za kupata mapato huku tuna rasilimali nyingi badala yake mnakamua Wanawake wajane?

Hii ndo sera ya Magufuli?

Huo urais wa wanyonge uko wapi?

Nimeumia sana mtu anauza vitunguu 300 fungu na anauza amepanga ardhini juu ya mfuko wa salfet unamfukuza sokoni kisa ya 20000 na kitambulisho? Mlaaniwe mnaofanya dhuluma wote

Nimeumia mno
ulivyomuangalia na kusikia sauti yake ukajua ni MJANE? Tuache propaganda za kishamba
 
We hebu waza kina mama wajane wanaouza nyanya au vitunguu au bamia au karoti za 200 au 300 sokoni wanalazimishwa kuwa na kitambulisho cha ujasiriamali si uonevu tu huu?

Hili soko nimelificha tu ningetaja kabisa tatizo ni kuwa ukitaja badala ya kusaidiwa wale wamama wanaouza wanaweza kushughulikiwa mpaka wakajuta

Kibri gani kimewapata watawala nanukuu

"we mama muuza vitunguu kama hutakata kitambulisho cha ujasiriamali keshokutwa nisione ukikatiza hata kwenye geti la sokoni hatutaruhusu ufanye biashara"

Huyo mama alijibu kwa unyonge mno
"Jamani hivi vitunguu hata ndoo ndogo havifiki kwa siku nikiuza simalizi hata sadoline tatu nitatoa wapi hiyo elfu 20 ya kitambulisho vitunguu vyenyewe tunapanga hapa chini ili tubangaize"

"Mama hata useme nini hilo ni agizo na lazima utaratibu ufuatwe" wakaondoka (wapo sita) wakamfata mfanyabiashara mwingine

Nilihisi kutokwa jasho kwa hasira yaani hadi machozi yalitaka kunidondoka mmeshindwa kutafuta njia za kupata mapato huku tuna rasilimali nyingi badala yake mnakamua Wanawake wajane?

Hii ndo sera ya Magufuli?

Huo urais wa wanyonge uko wapi?

Nimeumia sana mtu anauza vitunguu 300 fungu na anauza amepanga ardhini juu ya mfuko wa salfet unamfukuza sokoni kisa ya 20000 na kitambulisho? Mlaaniwe mnaofanya dhuluma wote

Nimeumia mno
Ulichukua hatua gani au ndio uliishia kupiga selfie na kuja kuleta upupu hapa?
 
Hiyo 20000 kwa mkupuo wataipata wapi??Ingekua hivyo kila mtanzania maisha yangekua simple

Mfano bima ya afya ya middle hosptal ni 50000 mpaka laki kwa mwaka ingekua ni simple hivyo kila mtanzania angekua nayo kuliko kulipa 8000 au 10000 kila mtu anapougua

Halafu hizo 200 wanazotoa ushuru ni kusafisha masoko na kuyaendeleza huyo jpm wenu anayeng'ang'ania hiyo 20k ya vitambulisho ndo atakuja kuwasafishia masoko na kuyaendeleza????



Sent using Jamii Forums mobile app
Jaribu kufikiria kwa sauti, hizo ni shughuli za manispaa husika
 
Mjomba alisema kuwa ' ..mwenye mtaji wa chini ya mil. 4 ndio anapaswa kulipia kitambulisho.' Maana yake hata kama uwe na mtaji wa buku na ni mfanya biashara,lazima ulipie kitambulisho.

Lakini jamaa, nilidhani ungemlipia huyo mama si ingekuwa poa sana...kuumia ma kukasirika hadi unatokwa jasho bilakutoa msaada ni uboya,usirudie tena huo ujinga.
Nan kakwambia n huyo mama mmoja tu ndo alikua anadaiwa?tujarbu tu kua wakwel,hiv vitambulisho vimewarudisha hao wanaoitwa wanyonge nyuma kabxaa kwan nkipta masoko mengi wengi wa wachuuzi wameshindwa ku afford hyo 20000 na kuamua kurudisha mpira kwa gol kipa
 
Unajua kuwawanalipa sh.200kila siku kamaushuruwa soko, na hii ilikuwa zamanisiku hizisiajabu ni500sasa 200*365=75000, kwa wenye akili, hivi vitambulisho vilitakiwa vinunuliwe viishe

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatzo watu hamuelewi,20,000/= ni ya rais,afu 500 kila siku ni ya soko inahusika katika usafi hyo ipo kama kawaida
 
Hapa nilipo wafanyakazi wote wa halmashauri wamepewa kila mtu vitambulisho kazaa auze haraka iwezekanavyo,sasa kuna wenzangu na mimi wanahaha hawajui hata wamuuzie nani,wanazunguka navyo kama wamachinga,
Maisha yanaenda kasi.

Never say never
Sahiv kuwa mtumishi Wa juu katka halmashauri ni shida,unafanya kaz kama mtumwa
 
We hebu waza kina mama wajane wanaouza nyanya au vitunguu au bamia au karoti za 200 au 300 sokoni wanalazimishwa kuwa na kitambulisho cha ujasiriamali si uonevu tu huu?

Hili soko nimelificha tu ningetaja kabisa tatizo ni kuwa ukitaja badala ya kusaidiwa wale wamama wanaouza wanaweza kushughulikiwa mpaka wakajuta

Kibri gani kimewapata watawala nanukuu

"we mama muuza vitunguu kama hutakata kitambulisho cha ujasiriamali keshokutwa nisione ukikatiza hata kwenye geti la sokoni hatutaruhusu ufanye biashara"

Huyo mama alijibu kwa unyonge mno
"Jamani hivi vitunguu hata ndoo ndogo havifiki kwa siku nikiuza simalizi hata sadoline tatu nitatoa wapi hiyo elfu 20 ya kitambulisho vitunguu vyenyewe tunapanga hapa chini ili tubangaize"

"Mama hata useme nini hilo ni agizo na lazima utaratibu ufuatwe" wakaondoka (wapo sita) wakamfata mfanyabiashara mwingine

Nilihisi kutokwa jasho kwa hasira yaani hadi machozi yalitaka kunidondoka mmeshindwa kutafuta njia za kupata mapato huku tuna rasilimali nyingi badala yake mnakamua Wanawake wajane?

Hii ndo sera ya Magufuli?

Huo urais wa wanyonge uko wapi?

Nimeumia sana mtu anauza vitunguu 300 fungu na anauza amepanga ardhini juu ya mfuko wa salfet unamfukuza sokoni kisa ya 20000 na kitambulisho? Mlaaniwe mnaofanya dhuluma wote

Nimeumia mno
Mkuu kwa kufuta machungu ni jambo jema ungetoa 20,000/= ukampatia japo mama mmoja tu hakika angepata baraka sana kwa mungu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitambulisho cha elf 20 kwa mwaka ni nafuu kuliko ushuru wa mia tano kwa siku. Maeneo mengi vitambulisho vimepungua hadi wakaomba nyongeza. Sio lazima kila MTU auze bamia, wengine wabakie kuzilima ili wawauzie wauzaji rejereja. MtapataTaaabu sana mwaka huu wale wenye KB za kufikiri
Hapa nilipo wafanyakazi wote wa halmashauri wamepewa kila mtu vitambulisho kazaa auze haraka iwezekanavyo,sasa kuna wenzangu na mimi wanahaha hawajui hata wamuuzie nani,wanazunguka navyo kama wamachinga,
Maisha yanaenda kasi.

Never say never
 
Back
Top Bottom