mbwe
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 1,173
- 2,873
Ndugu yangu unaonekana umekulia maisha ya mboga saba yaan unaona 20000 ni kitu rahisi kulipa kwa mkupuo kwa muuza nyanya za 200, iko hivi ni heli alipe ushuru wa 500 kila siku kuliko 20000 ya mkupuo coz hiyo 20000 ndio mtaji wenyew ,maana akijumua nyanya za 20000 anaweza pata faida ya 4000 au 5000 hapo atatoa 500 ya ushuru ,1000 naul ,3500 matumiz ya nymban ,so hao wafanya biashara wa nyanya Mara nyingi hawasave kama unavyofikilia hapo anafanyia tumbo kwa siku husika muda mwingine anaweza asiuze kabisa na akaamua kukaanga hizo hizo nyanya na ugal cku ikapita .Pia kwa serikal makin haikupaswa kuwatoza kodi kina mama wa dizain hiyo wangeendeleza ile Sera yao kuwa kuanzia mtaji wa million 4 au 2 au hata 1 ndio wanunue vitamburisho nadhan ingesound pouwa sana ,.nijitolee mfano mm nakumbuka miaka ya 2010 nishafanya sana uchinga hapo kariakoo mtaa wa nyamwez ,na mtaji wangu ulikuwa 30000 tu yaan naingia madukan nachukua bidhaa nabangaiza kwa siku najikuta napata faida 4000 au hata 7000 cku zingine naambulia patupu had nakosa naul na kula sijala ,so nikajikuta kila cku nabak pale pale yaan hizo kazi huwez save hata elfu kumi kwa mwez zaid watu hufanyia matumbo yao tu ili cku zipite
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua kuwawanalipa sh.200kila siku kamaushuruwa soko, na hii ilikuwa zamanisiku hizisiajabu ni500sasa 200*365=75000, kwa wenye akili, hivi vitambulisho vilitakiwa vinunuliwe viishe
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app