Nilichokiona sokoni jana kuhusu vitambulisho vya ujasiriamali nilitamani kulia

Unajua kuwawanalipa sh.200kila siku kamaushuruwa soko, na hii ilikuwa zamanisiku hizisiajabu ni500sasa 200*365=75000, kwa wenye akili, hivi vitambulisho vilitakiwa vinunuliwe viishe

Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi ufungwe uyo sokoni pengine ndo anaenda leo yani mtu upo masaki soko lako supermaket unakuja manzese sokoni au mabibo tena mchana hujui pilika za soko asubuh zipoje yani ushuru wa 300-500 kwa siku ni lazima, uwe unauza udongo au kitunguu ndani ya soko lazima ulipe

Kwakua mkuu alisema ukiwa na hichi kitambulisho zile hutolipa ni vyema mara mia tano kuwa nacho hata kama utakopa bora awe nacho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM na serikali yao iliyo madarakani ni ya hovyo sana.
Nakupa ushuhuda. Kuna dada huwa anauza mboga mboga kwenye beseni sokoni bei yake ni 300 shs. Amepanga chumba kimoja na ana mtoto wa miaka kama 5 hivi maskini hata shule hajamuanzisha. Kuna siku jioni alikua anawaza kesho yake atauzaje mboga hana shs 20 elfu ya hiyo ID maana deadline ilishafika.


Sent using my Nokia Torch
Daaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuta huko SINGIDA mpaka mafundi Ujenzi, fundi Selemala, uwe fundi rangi ni lazima kuwa na kitamburisho hicho.....

Sasa sijui Ujasiliamali wa fundi Ujenzi uko wapi....!!!?
 
KAKA WEWE UNAONA WAUZA NYANYA WANAONEWA.UNAJUA FUNGU LA NYANYA MAPATO YAKE ?MAPATO YAKE HUYAJUI UNAMUONEA HURUMA KWA KUWA KAPANGA ARDHINI .KILA FUNGU LA NYANYA ANA FAIDA FUNGU MOJA LA sh1000 ANAPATA sh400 FAIDA .ANAUZA KWA SIKU MAFUNGU 20 x400=sh 8000 HIYO NI FAIDA TU ,SASA SERIKALI IMEMPA KITAMBULISHO KWA SH 20000/ KWA MWAKA ,MAANA YAKE IKIWA FAIDA ANAPATA sh 8000/KWA SIKU SERIKALI INACHUKUA KWA SIKU MOJA PESA YA KITAMBULISHO KWAKE NI SENT 55 UKIPIGA KWA MWAKA SIKU 365 =20000/sh sasa jamani sent 55 kwa siku ni kuonewa au nyinyi ndio mnaionea serikali
Oooooh my foot eti fungu moja 1000?are you gone mad???hizi biashara mama zetu na ndugu zetu wanazifanya sio kama unavyodhani......fungu moja hata uuzeje haliwezi kuleta 1000 acha uongo mkubwa huu ingekua hivi hawa wamama wangekua wanaongoza kwa kipato cha kati

Umeandika kwa urefu kumbe pumba tu kwendaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KAKA WEWE UNAONA WAUZA NYANYA WANAONEWA.UNAJUA FUNGU LA NYANYA MAPATO YAKE ?MAPATO YAKE HUYAJUI UNAMUONEA HURUMA KWA KUWA KAPANGA ARDHINI .KILA FUNGU LA NYANYA ANA FAIDA FUNGU MOJA LA sh1000 ANAPATA sh400 FAIDA .ANAUZA KWA SIKU MAFUNGU 20 x400=sh 8000 HIYO NI FAIDA TU ,SASA SERIKALI IMEMPA KITAMBULISHO KWA SH 20000/ KWA MWAKA ,MAANA YAKE IKIWA FAIDA ANAPATA sh 8000/KWA SIKU SERIKALI INACHUKUA KWA SIKU MOJA PESA YA KITAMBULISHO KWAKE NI SENT 55 UKIPIGA KWA MWAKA SIKU 365 =20000/sh sasa jamani sent 55 kwa siku ni kuonewa au nyinyi ndio mnaionea serikali
Motivational speakers wamekudanganya mkuu unajua losses kweli au?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa nilipo wafanyakazi wote wa halmashauri wamepewa kila mtu vitambulisho kazaa auze haraka iwezekanavyo,sasa kuna wenzangu na mimi wanahaha hawajui hata wamuuzie nani,wanazunguka navyo kama wamachinga,
Maisha yanaenda kasi.

Never say never
Ngoja nikwambie kitu. Ni kweli kwamba hiyo biashara ya vitambulisho katika halmashauri nyingi imedoda na hivyo vitambulisho vingi kubaki bila kuuzika. Hao wanaovitembeza uliowazungumzia watakuwa hawajajiongeza tu na wakiendelea kutojiongeza wakurugenzi wao watapoteza kazi maana watakuwa wanamuaibisha uncle na kumfanya ionekane "ubunifu" wake si lolote si chochote.

Kwenye halmashauri zingine wanakojiongeza wanachokifanya ni kwa wakuu wote wa idara kugawana hivyo vitambulisho vyote vilivyokosa wanunuzi, kuandika dokezo la kuomba posho kwa ajili ya jambo fulani tofauti, kisha kila mkuu wa idara kutumia posho hiyo kulipia hivyo vitambulisho ili kuonekana kama vimenunuliwa na wafanyabiashara ndogo ndogo na hatimaye kutangazwa kwa sifa kwamba katika halmashauri fulani vitambulisho vyote vilivyopelekwa vimekwisha kwa kununuliwa na wafanyabiashara ndogo ndogo wakati si kweli! Hii yote ni kutaka umma uone kwamba aliyeleta wazo la vitambulisho hivyo alikuwa sawia.

Lakini pia kama halmashauri haina posho za kuwapa wakuu wa idara wengine wamekuwa wakilazimika kutumia pesa ya mifukoni mwao kuvinunua ili kuendelea kulinda nafasi zao za kazi, mishahara yao na marupurupu mengine yanayowaweka mjini.
 
Unajua kuwawanalipa sh.200kila siku kamaushuruwa soko, na hii ilikuwa zamanisiku hizisiajabu ni500sasa 200*365=75000, kwa wenye akili, hivi vitambulisho vilitakiwa vinunuliwe viishe

Sent using Jamii Forums mobile app
Akili za mtanzania hizo mkuu! Yupo radhi ale kuku wa ef7 aje kujitibu kansa kwa mamilioni kuliko kununua kuku wa kienyeji ili awe na afya njema
 
Ngoja nikwambie kitu. Ni kweli kwamba hiyo biashara ya vitambulisho katika halmashauri nyingi imedoda na hivyo vitambulisho vingi kubaki bila kuuzika. Hao wanaovitembeza uliowazungumzia watakuwa hawajajiongeza tu na wakiendelea kutojiongeza wakurugenzi wao watapoteza kazi maana watakuwa wanamuaibisha uncle na kumfanya ionekane "ubunifu" wake si lolote si chochote.

Kwenye halmashauri zingine wanakojiongeza wanachokifanya ni kwa wakuu wote wa idara kugawana hivyo vitambulisho vyote vilivyokosa wanunuzi, kuandika dokezo la kuomba posho kwa ajili ya jambo fulani tofauti, kisha kila mkuu wa idara kutumia posho hiyo kulipia hivyo vitambulisho ili kuonekana kama vimenunuliwa na wafanyabiashara ndogo ndogo na hatimaye kutangazwa kwa sifa kwamba katika halmashauri fulani vitambulisho vyote vilivyopelekwa vimekwisha kwa kununuliwa na wafanyabiashara ndogo ndogo wakati si kweli! Hii yote ni kutaka umma uone kwamba aliyeleta wazo la vitambulisho hivyo alikuwa sawia.

Lakini pia kama halmashauri haina posho za kuwapa wakuu wa idara wengine wamekuwa wakilazimika kutumia pesa ya mifukoni mwao kuvinunua ili kuendelea kulinda nafasi zao za kazi, mishahara yao na marupurupu mengine yanayowaweka mjini.
Duh,mambo ni mengi mkuu,na awamu hii wafanyakazi wa umma wamewekwa danger zone,kila muda wanawaza kupoteza kazi.

Never say never
 
40 Reactions
Reply
Back
Top Bottom