Nilichokiona sokoni jana kuhusu vitambulisho vya ujasiriamali nilitamani kulia

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
8,840
17,438
We hebu waza kina mama wajane wanaouza nyanya au vitunguu au bamia au karoti za 200 au 300 sokoni wanalazimishwa kuwa na kitambulisho cha ujasiriamali si uonevu tu huu?

Hili soko nimelificha tu ningetaja kabisa tatizo ni kuwa ukitaja badala ya kusaidiwa wale wamama wanaouza wanaweza kushughulikiwa mpaka wakajuta

Kibri gani kimewapata watawala nanukuu

"we mama muuza vitunguu kama hutakata kitambulisho cha ujasiriamali keshokutwa nisione ukikatiza hata kwenye geti la sokoni hatutaruhusu ufanye biashara"

Huyo mama alijibu kwa unyonge mno
"Jamani hivi vitunguu hata ndoo ndogo havifiki kwa siku nikiuza simalizi hata sadoline tatu nitatoa wapi hiyo elfu 20 ya kitambulisho vitunguu vyenyewe tunapanga hapa chini ili tubangaize"

"Mama hata useme nini hilo ni agizo na lazima utaratibu ufuatwe" wakaondoka (wapo sita) wakamfata mfanyabiashara mwingine

Nilihisi kutokwa jasho kwa hasira yaani hadi machozi yalitaka kunidondoka mmeshindwa kutafuta njia za kupata mapato huku tuna rasilimali nyingi badala yake mnakamua Wanawake wajane?

Hii ndo sera ya Magufuli?

Huo urais wa wanyonge uko wapi?

Nimeumia sana mtu anauza vitunguu 300 fungu na anauza amepanga ardhini juu ya mfuko wa salfet unamfukuza sokoni kisa ya 20000 na kitambulisho? Mlaaniwe mnaofanya dhuluma wote

Nimeumia mno
 
Unajua kuwawanalipa sh.200kila siku kamaushuruwa soko, na hii ilikuwa zamanisiku hizisiajabu ni500sasa 200*365=75000, kwa wenye akili, hivi vitambulisho vilitakiwa vinunuliwe viishe

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo 20000 kwa mkupuo wataipata wapi??Ingekua hivyo kila mtanzania maisha yangekua simple

Mfano bima ya afya ya middle hosptal ni 50000 mpaka laki kwa mwaka ingekua ni simple hivyo kila mtanzania angekua nayo kuliko kulipa 8000 au 10000 kila mtu anapougua

Halafu hizo 200 wanazotoa ushuru ni kusafisha masoko na kuyaendeleza huyo jpm wenu anayeng'ang'ania hiyo 20k ya vitambulisho ndo atakuja kuwasafishia masoko na kuyaendeleza????



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua kuwawanalipa sh.200kila siku kamaushuruwa soko, na hii ilikuwa zamanisiku hizisiajabu ni500sasa 200*365=75000, kwa wenye akili, hivi vitambulisho vilitakiwa vinunuliwe viishe

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kiuhalisia Hawa akina mama hawakupaswa wawe na Kodi kabisa just imagine mtu anachukua nyanya za elfu10 anaenda panga kuuza chini na zinachukua siku3 halafu unamuwekea Kodi juu.

Ni hizi nchi za kiafrica tu ndo Kuna upumbavu huu
 
Hiyo 20000 kwa mkupuo wataipata wapi??Ingekua hivyo kila mtanzania maisha yangekua simple

Mfano bima ya afya ya middle hosptal ni 50000 mpaka laki kwa mwaka ingekua ni simple hivyo kila mtanzania angekua nayo kuliko kulipa 8000 au 10000 kila mtu anapougua

Halafu hizo 200 wanazotoa ushuru ni kusafisha masoko na kuyaendeleza huyo jpm wenu anayeng'ang'ania hiyo 20k ya vitambulisho ndo atakuja kuwasafishia masoko na kuyaendeleza????



Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nimlipie kama una info zake
 
Nchi zinazoendelea ndio shida yetu kualalisha biashara bila kodi. Wakati huohuo mnatamani kupata misaada kutoka kwa wanaolipa kodi. Hatuwezi kuendelea kwa utaratibu huu.

Ukiyavulia maji nguo lazima uyaoge vinginevyo husivue nguo zake. Ukitaka kufanya biashara hata ikiwa ndogo kiasi gani fuata utaratibu uliowekwa vinginevyo husifanye nenfa kalime

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: K M
Mjomba alisema kuwa ' ..mwenye mtaji wa chini ya mil. 4 ndio anapaswa kulipia kitambulisho.' Maana yake hata kama uwe na mtaji wa buku na ni mfanya biashara,lazima ulipie kitambulisho.

Lakini jamaa, nilidhani ungemlipia huyo mama si ingekuwa poa sana...kuumia ma kukasirika hadi unatokwa jasho bilakutoa msaada ni uboya,usirudie tena huo ujinga.
 
Mjomba alisema kuwa ' ..mwenye mtaji wa chini ya mil. 4 ndio anapaswa kulipia kitambulisho.' Maana yake hata kama uwe na mtaji wa buku na ni mfanya biashara,lazima ulipie kitambulisho.

Lakini jamaa, nilidhani ungemlipia huyo mama si ingekuwa poa sana...kuumia ma kukasirika hadi unatokwa jasho bilakutoa msaada ni uboya,usirudie tena huo ujinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni fala tu wa lumumba unaongea utadhani upo juu ya sheria yaani mimi nimpe akate kitambulisho 20k ikanunulie mandege ya kipumbavu sio bora nimpe tu akale na wanaye???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kiuhalisia Hawa akina mama hawakupaswa wawe na Kodi kabisa just imagine mtu anachukua nyanya za elfu10 anaenda panga kuuza chini na zinachukua siku3 halafu unamuwekea Kodi juu.

Ni hizi nchi za kiafrica tu ndo Kuna upumbavu huu
Kina mama wengi hawana mitaji wanakopa nyanya au kitunguu mfano ndoo moja wanauza wakishauza wanarudisha hela ya watu anapata hapo kafaida kidogo



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa nilipo wafanyakazi wote wa halmashauri wamepewa kila mtu vitambulisho kazaa auze haraka iwezekanavyo,sasa kuna wenzangu na mimi wanahaha hawajui hata wamuuzie nani,wanazunguka navyo kama wamachinga,
Maisha yanaenda kasi.

Never say never
 
40 Reactions
Reply
Back
Top Bottom