kaburu mdogo
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 567
- 400
- Thread starter
- #21
ukitaka kuaibika mtaana we mwambie ukweli au mashauri tofauti na anavyojua au anavyotaka yeye katika akili yake ndo utajua utamu wa jiji,bi mkubwa wangu ni nouma kwa umbea na wasichana wa kazi huwa hawalijui hilo hulijua baada ya kuondoka na kupewa taarifa na marafiki zao na kutulaumu watoto wake kuwa tunamsema vibaya kumbe ni yeye mwenyeweduh! bi mkubwa sio kabisa ila mtu wa ivi ukimjulia unakua unakaa mbali na anga zake basi