sifi leo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 5,014
- 8,363
Mkuu acha bangi na virobaa,, onasasa unavyo fanyaView attachment 419093 walai nikiwa kituoni namsubiri monicca walai sjaamini macho yangu baada ya kufika mdada mmoja aliyejitambulisha kuwa yey ndo monica wa jf, walai nimekimbia kutoka kituoni mpaa kwangu paspo kuamini nilicho kiona jaman help me huyu ndo monicaa wa jf au kanitengezea zengwe ili nimkose jamani huyu ndo monicaa wa jf mwenye nyodo zote zile?
View attachment 419093 walai nikiwa kituoni namsubiri monicca walai sjaamini macho yangu baada ya kufika mdada mmoja aliyejitambulisha kuwa yey ndo monica wa jf, walai nimekimbia kutoka kituoni mpaa kwangu paspo kuamini nilicho kiona jaman help me huyu ndo monicaa wa jf au kanitengezea zengwe ili nimkose jamani huyu ndo monicaa wa jf mwenye nyodo zote zile?
Basi utakuwa umekosea jukwaaa peleka kule facebook huu ujinga wakomimi sjawai kunywa viroba kuwa na adabu
mimi sjawai kunywa viroba kuwa na adabu
1%???Huwa napingana na tafiti nyingi za hapa nchini ila ile tafiti ya juzi nahisi ina ukweli ndani yake