DITOPILE WAPILI
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 376
- 256
Rais Jembe!!!!!!!! Magufuli Jembeeeeee!!!! Magufuli babalao!!!!!!
Jamaaanapita kwa kishindo. Wabelgiji walie tuuRais Jembe!!!!!!!! Magufuli Jembeeeeee!!!! Magufuli babalao!!!!!!
Kwani ushabiki unaenda na umri babu?Hahaha msio na akili?!
Hilo nalitambua, kijana mwenye akili aishabikie ccm ?! Haiwezekani.
Unao uhuru wa kuandika unachoandika. CCM hoyeeeeeAnapendwa na nani?
Yaani atese wananchi kwa miaka mitano halafu wampende?
Kuna lipi jipya na lenye maana aliwaahidi kuwafanyia wakazi wa Korogwe mwaka 2015 halafu mwisho wa siku akawafanyia?
Hahahah nimecheka sana.Ukiwalinganisha wanaotaka urais, baadhi wanaopata kushabikiwa hadi unaona huruma. Hivi kweli akili ya Lissu inaweza kuongoza nchi na ukaamini nchi itaendelea! Tutajikuta kila siku rais akitunga sheria.
Labda ashinde wingi wa mabangoJamaaanapita kwa kishindo. Wabelgiji walie tuu
Sasa, watu wasipotengenezwa na wakaja, hizo sera ataiambia miti? Cha msingi hawana pingu mikononi, na hakuna polisi wa kuwazuia kuondoka.Asilimia kubwa sio wakazi wa hapo,wengi wameletwa kutoka magoma,kwashemshi,mombo na vijiji vya karibu kwa ufupi mikutano ya CCM ni ya kutengeneza sio halisi hili lipo wazi na nimelishudia
Anapendwa na nani?
Yaani atese wananchi kwa miaka mitano halafu wampende?
Kuna lipi jipya na lenye maana aliwaahidi kuwafanyia wakazi wa Korogwe mwaka 2015 halafu mwisho wa siku akawafanyia?
Na mdingi wa kujinyea nyea naye vipi?Magufuli babalaooooo
Hiyo Slogan ya kwamba CCM ni ya wazee ilifanikisha sana wakati wa 2015 lakini kwa mwaka huu haina mashiko. Vijana wengi wako CCM sema cdm ina waadholika wa kutumbuliwa ambao siyo wengi.Hahaha hakuna kijana mwenye akili timamu atakekuwa ccm leo hii.
Kwa lipi hasa?!
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/37060758Wewe ni mnufaika wa blackmail
HapendwiWakuu,
Niko hapa Korogwe ambapo Kesho tutakuwa na kampeni ya mkoa kwa mgombea wa CCM ndugu Magufuli.
Wananchi wamejitokeza kwa wingi sana kumsalimia barabarani. Watu ni wengi mno. Nimeamini kuwa kiongozi anayeshughulika na matatizo ya watu, atapendwa na kuheshimiwa.
UPDATES
20/10/2020 0805
Uwanja umefurika watu na babu Seya anatumbuiza hapa.
Kuingia uwanjani ni lazima unawishwe na vitakasa mikono (sanitizer) na upimwe joto la mwili. CCM inajali na inachukua hatua zote za kiafya kama inavyoshauriwa na wataalamu wa afya
0830
Helikopta ya CCM inaamsha popo uwanjani hapa
0835
Humphrey Polepole anaongea
0850
Wagommbea Ubunge wanaeleza Utekelezaji wa ilani ya CCM, kumuombea kura Magufuli, wait wenyewe na madiwani wa CCM
0950
Magufuli anawasili uwanjani
Hongera sana Magufuli na karibu Tanga
Amani
View attachment 1605139
Video (Dkt. Magufuli akiwa Mkata)
View attachment 1605611
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/37060758Wamekusanywa na kusambazwa ila moyoni hawana furaha.
https://www.jamiiforums.com/index.php?posts/37060758uzi wa maCCM kujifariji
Angalia ujinga wa mufti.Korogwe kula kijiji kilipewa mil 50
Na kula mwalimu alipewa laptop