Wakusini
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 805
- 609
Hakuna laana ya ivo,babu kama wewe unapigwa makofi na laana inadunda.Hahaha unamtukana babu yako kizaa baba yako, na nilipichepuka upande wa pili nikamzaa mama yako.
Utapata laana bure.
Hakuna laana ya ivo,babu kama wewe unapigwa makofi na laana inadunda.Hahaha unamtukana babu yako kizaa baba yako, na nilipichepuka upande wa pili nikamzaa mama yako.
Utapata laana bure.
Wewe endelea kutumia kura ya kebehi kwa wapiga kura...bado to hamjajifunza...subirini...Siwezi shangaa wazigua umasikini , uchawi na uvivu lazima wawe ccm .
Tulikua tunakwenda kwenye mikutano ya CCM tangu wadogo mbona Sasa tunaichukia?Kumbuka hao watoto wa shule baada ya miaka 6 ni watu wazima na watakuwa na mapenzi na ccm kwa sababu wamekuwa wakihudhuria mikutano yao. Maandalizi ya miaka mingi mbele akili hiyo cdm ni 0-.
Kwa mfano vijana wa scout automatically wote ni lazima wawe ccm kwa sababu wao wameizoea ccm tangia utoto wao. Haya maandalizi utopolo hawayajui.
Kutoka kwa mtanzania asiyejitambuaHahaha demokrasia iwepo ccm?!
Mbona itakuwa muujiza.
Ukikuta kijana yuko huko ccm, jua libaba lake ni jambazi la ccm,hivyo kutetea na kulinda wizi wa baba au mama yake.
Unalidhalilisha hilo jina unalotumia. Kwanini usijiite Mr Devil au evil spirit Kama wenzako?
BURDANI inasomba watu njia ya magoma huku kama N'GOMBE ,usafiri wa kwenda na kurudi na POSHO sh 5000/=Wakuu,
Niko hapa Korogwe ambapo Kesho tutakuwa na kampeni ya mkoa kwa mgombea wa CCM ndugu Magufuli.
Wananchi wamejitokeza kwa wingi sana kumsalimia barabarani. Watu ni wengi mno. Nimeamini kuwa kiongozi anayeshughulika na matatizo ya watu, atapendwa na kuheshimiwa.
Hongera sana Magufuli na karibu Tanga
Amani
Rais wa awamu ya sita huyu hapa anawapiga shule viongozi wa CCM wakiwa wanamsikliza kwa umakini sanaBaada ya tar 28 watu watapoteana humu we subiri!
Umesema kweli kwanza akiwa anapita sehemu lazima njia isafishwe ndiyo hapo watu hutaka kuona anavyopita, hata mm nikisikia Rais anapita nasogea kuona ule msafara wa magari Yale ya thamani kubwa na ule ulinzi mkubwaHulka ya wabongo ni kushangaa, kumshangaa mtu sio sawa nakumpenda, wanaweza wakawa wameenda kumshangaa wamuone live na msafara wake na ulinzi mkubwa alionao Rais ili wapate story za kupiga
Hii picha itunze ina maana kubwa sanaRais wa awamu ya sita huyu hapa anawapiga shule viongozi wa CCM wakiwa wanamsikliza kwa umakini sanaView attachment 1605317
Duh! Mitandaoni uongo mwingi. Kwabahati hata mimi nilikuwepo wakati anaingia
Nilishangaa kuona umati mkubwa sana na bodaboda wakisherehesha tena kwa mwendo wa hatari hadi kimoyo moyo nikawa nasema mungu awasaidie wasisababishe ajali.