Habari wanaJF,
Leo jumamosi nimeshinda home kwangu wife na binti wangu wa kazi wakatoka kidogo nikajisikia leo nipekue chumbani kwa dada wa kazi cheki mabegi nk .
Mpaka chini ya kitanda hii inaitwa intelijensia ya nyumbani du nikakuta dada ameficha soksi zangu nzuri chini ya kitanda chake tena ndani ya mkeka matambala machafu ya hedhi yaliyotumika kafundika mavunguni tena ya mda mrefu.
Da kazi kweli kweli ila swala la soksi zangu tena nzuri kuficha chini ya kitanda ndio sikuelewa ni imani fulani au bahati mbaya nawaza nimshirikishe wife amsaidie huyu binti usafi wake ila najiuliza wife atanishushua nini kuwua nimeanzaje tabia ya kupekua pekua mawazo yenu wandugu.
Leo jumamosi nimeshinda home kwangu wife na binti wangu wa kazi wakatoka kidogo nikajisikia leo nipekue chumbani kwa dada wa kazi cheki mabegi nk .
Mpaka chini ya kitanda hii inaitwa intelijensia ya nyumbani du nikakuta dada ameficha soksi zangu nzuri chini ya kitanda chake tena ndani ya mkeka matambala machafu ya hedhi yaliyotumika kafundika mavunguni tena ya mda mrefu.
Da kazi kweli kweli ila swala la soksi zangu tena nzuri kuficha chini ya kitanda ndio sikuelewa ni imani fulani au bahati mbaya nawaza nimshirikishe wife amsaidie huyu binti usafi wake ila najiuliza wife atanishushua nini kuwua nimeanzaje tabia ya kupekua pekua mawazo yenu wandugu.