Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,668
- 40,916
1. Sababu kuu Mbili za Serikali Mbili katika Muungano badala ya Serikali tatu. (Uk. 20).
(i) Kuepusha Zanzibar kumezwa na Tanganyika.
(ii ) Kuepusha Tanganyika kubeba gharama kubwa za kuendesha Serikali ya Muungano na Tanganyika.
2. Pendekezo la Serikali Tatu katika Muungano kutokana na ripoti ya Tume ya Nyalali halikutoka kwa wananchi. ( Uk. 5)
Nani alikuwa nyuma ya hii ripoti ? Malengo yake yalikuwa yapi ??
3. Mfumo wa Sasa wa Kugombea nafasi ya Urais umetokana na Ripoti ya Kamati iliyoongozwa na Mark Bomani ( Uk. 7).
- Mgombea wa Urais akitoka upande mmoja wa Muungano lazima Mgombea mwenza atoke upande mwingine wa Muungano.
4. Umuhimu wa dhana ya uwajibikaji kwa viongozi wetu ( uk. 46).
5. Rashid Kawawa alimpendekeza Edward Moringe Sokoine kushika nafsi yake ya Uwaziri Mkuu ( uk. 59).
6. Cheo ni dhamana Sio Usultani. ( Uk. 59).
7. Rais anatakiwa kuchaguliwa kwa uangalifu mkubwa ( Uk. 60)
8. Tanzania ni Lulu ya kipekee katika historia ya Afrika huru. ( Uk. 75 ) .
- Nchi nyingine ni za kurithi toka ukoloni . Tanzania ni ya kuundwa kwa hiari yetu wenyewe.
9. CCM ni Lulu ya Afrika ( uk. 77).
- Ni chama kinachotokana na Muungano wa vyama vya ukombozi vya ASP na TANU.
10. Mbadala wa CCM Bado kupatikana ( Uk. 87).
11. Nyerere ndiye alipendekeza kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi. ( Uk. 87).
12. Mijadala huru katika maswala makubwa ya kitaifa ( Uk. 87).
13. Tujenge utaratibu wa kupiga Vita Woga. ( Uk. 88).
14. Tujifunze kubadilika kutokana na wakati. ( Uk. 89).
Karibuni kwa mjadala.
(i) Kuepusha Zanzibar kumezwa na Tanganyika.
(ii ) Kuepusha Tanganyika kubeba gharama kubwa za kuendesha Serikali ya Muungano na Tanganyika.
2. Pendekezo la Serikali Tatu katika Muungano kutokana na ripoti ya Tume ya Nyalali halikutoka kwa wananchi. ( Uk. 5)
Nani alikuwa nyuma ya hii ripoti ? Malengo yake yalikuwa yapi ??
3. Mfumo wa Sasa wa Kugombea nafasi ya Urais umetokana na Ripoti ya Kamati iliyoongozwa na Mark Bomani ( Uk. 7).
- Mgombea wa Urais akitoka upande mmoja wa Muungano lazima Mgombea mwenza atoke upande mwingine wa Muungano.
4. Umuhimu wa dhana ya uwajibikaji kwa viongozi wetu ( uk. 46).
5. Rashid Kawawa alimpendekeza Edward Moringe Sokoine kushika nafsi yake ya Uwaziri Mkuu ( uk. 59).
6. Cheo ni dhamana Sio Usultani. ( Uk. 59).
7. Rais anatakiwa kuchaguliwa kwa uangalifu mkubwa ( Uk. 60)
8. Tanzania ni Lulu ya kipekee katika historia ya Afrika huru. ( Uk. 75 ) .
- Nchi nyingine ni za kurithi toka ukoloni . Tanzania ni ya kuundwa kwa hiari yetu wenyewe.
9. CCM ni Lulu ya Afrika ( uk. 77).
- Ni chama kinachotokana na Muungano wa vyama vya ukombozi vya ASP na TANU.
10. Mbadala wa CCM Bado kupatikana ( Uk. 87).
11. Nyerere ndiye alipendekeza kuanzishwa kwa mfumo wa vyama vingi. ( Uk. 87).
12. Mijadala huru katika maswala makubwa ya kitaifa ( Uk. 87).
13. Tujenge utaratibu wa kupiga Vita Woga. ( Uk. 88).
14. Tujifunze kubadilika kutokana na wakati. ( Uk. 89).
Karibuni kwa mjadala.