ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Ni ile mikutano ya Wadau/wachimbaji wa Madini na Viongozi wa dini ,Rais pamoja na viongozi wa serikali
Ni mijadala iliokua wazi,hoja/kero za papo kwa papo,ushauri na taarifa za mambo Mengi sehemu tofauti za nchi
Rais ameendesha vikao hivi katika hali ya kupendeza,kuvutia na kusisimua!
Nimeipenda sana modal hii kinachotakiwa tu ni kuboreshwa na kidogo kupunguza idadi ya makundi ya wajumbe
Nimeona kumbe tukiwa na makundi ya watu wa madini,viongozi wa dini,kundi la wafanyabiashara,Wadau wa afya,elimu na uchumi
Tosha kabisa hawa watu wanaweza kuwakilisha wananchi kuisaidia nchi ktk kuelekea mafanikio na kuionyesha serikali matatizo yaliyopo ktk jamii,kushauriana na serikali(rais pamoja na mawaziri)mini tufanye ili nchi iendelee mbele
Hivyo kundi hili lingekua linaitwa kwa vipindi Fulani vya mwaka,tena wala wasipewe offer za magari na malupulupu yawe ya kawaida,wala wasilipwe mamilioni wakimaliza muda wao hapo tutaokoa mamilioni ya shilingi ambayo yanaweza elekezwa hata kwenye afya na elimu
Makundi Haya yangehudumu na serikali mpaka hapo tungefikia sehemu nzuri kiuchumi,kiafya kielimu na kukomaa ki demokrasia ndipo hapo tungeunda bunge
Hivi sasa nchi tulivyo nyuma tungehitaji jitihada za haraka sana katika kuujenga uchumi.bunge letwabungesiasai lakini ni kama linaenda taratibu kutokana na kanuni,pia uvutano wa utofauti wa vyama vya siasa baina ya wabunge
Ama kivingine ningeshauri tuachane na vyama na siasa kabisa tujenge nchi wote kama taifa,
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mijadala iliokua wazi,hoja/kero za papo kwa papo,ushauri na taarifa za mambo Mengi sehemu tofauti za nchi
Rais ameendesha vikao hivi katika hali ya kupendeza,kuvutia na kusisimua!
Nimeipenda sana modal hii kinachotakiwa tu ni kuboreshwa na kidogo kupunguza idadi ya makundi ya wajumbe
Nimeona kumbe tukiwa na makundi ya watu wa madini,viongozi wa dini,kundi la wafanyabiashara,Wadau wa afya,elimu na uchumi
Tosha kabisa hawa watu wanaweza kuwakilisha wananchi kuisaidia nchi ktk kuelekea mafanikio na kuionyesha serikali matatizo yaliyopo ktk jamii,kushauriana na serikali(rais pamoja na mawaziri)mini tufanye ili nchi iendelee mbele
Hivyo kundi hili lingekua linaitwa kwa vipindi Fulani vya mwaka,tena wala wasipewe offer za magari na malupulupu yawe ya kawaida,wala wasilipwe mamilioni wakimaliza muda wao hapo tutaokoa mamilioni ya shilingi ambayo yanaweza elekezwa hata kwenye afya na elimu
Makundi Haya yangehudumu na serikali mpaka hapo tungefikia sehemu nzuri kiuchumi,kiafya kielimu na kukomaa ki demokrasia ndipo hapo tungeunda bunge
Hivi sasa nchi tulivyo nyuma tungehitaji jitihada za haraka sana katika kuujenga uchumi.bunge letwabungesiasai lakini ni kama linaenda taratibu kutokana na kanuni,pia uvutano wa utofauti wa vyama vya siasa baina ya wabunge
Ama kivingine ningeshauri tuachane na vyama na siasa kabisa tujenge nchi wote kama taifa,
Sent using Jamii Forums mobile app