Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,279
- 3,776
...
Hayo sijuiLitapita na Gwajima... haliwezi kumwacha salama
Hee mzeebaba labda sijaskia vizuri, embu ngoja nirudie tena mkuuFuckkk you au thank you?? Wewe Ni kiziwi???
Hapungui kilo wala nini kama hujui.Hahah hakyanani huyu mzee mpaka huu mwezi uishe atakuwa ameshapungua kilo 10
Jambo usilolijua ni kama usiku wa kiza.Hapana nakataa, kama ndo hivyo asinge kuwa anahaha kujisafisha
Sema, mji mzito sana.Duh mji mzito huu
Yule itakuwa mchaga ukute hapo alikuwa anawaza hela anayomdai shirimaAlafu yule dada hata hajitumi kabisa yani kalala kifo cha mende mzee baba ndio fundi wa kudungunyuka
Atakuwa wa Kishimundu huyo siyo kwa uzembe ule.Alafu yule dada hata hajitumi kabisa yani kalala kifo cha mende mzee baba ndio fundi wa kudungunyuka
Kiganja kiko tofautiunazungumzia kiganja hichiView attachment 1093756
angalia vzr kignjKiganja cha kwanza kile kina mistari mitatu iliyoko visible ila cha kwenye video iko minne