Nilichojifunza kuhusu kilimo cha tikiti

Mleta mada suala la uchawi ni akadabla, kwa kifupi huo ni mradi wa hao wanakijiji kwa kushirikiana na hyo mganga usipofuata wanavyokwambia(ukipuuza huduma za hyo mganga) watahujumu shamba lako kwa kulimwagia sumu ya kukausha mazao yote ili mwisho wa siku huamini kuwa ukipuuza kuroga basi mazao yako yatakauka......nina experience na hya mambo yalinikuta nikiwa mbwewe kijiji cha changalikwa
 
Nikiwa mkulima mchanga wa tikiti nimejifunza vitu vingi ambavyo naona leo si vibaya nikashare kwenu

1.Uchawi

amini usiamini uchawi upo kwenye kilimo nimeamini hivyo baaada ya wakulima wenzangu kama wanne kunihadithia jinsi walivyopata hasara kwa kudharau kulinda shamba au kutumia dawa ya kupandia

sijawahi kuroga lakini kwa sababu nimeinvest hela kubwa nlienda kwa mganga kwa mara ya kwanza ili hela yangu irudi ikibid hata na faida

Shamba
nlilipa hela ya heka nne lakini juzi amekuja bwana shamba kunitembelea akanishauri kabla sijalipia shamba nilipime na kweli tulipopima ikatoka heka 3 na robo
nlijifunza kitu kikubwa sana kuhusu umuhimu wa kupima shamba

Wafanyakazi

Kama utalimia maeneo ya pwani usiajiri wazaramo au watu wa pwani/wenyeji tafuta wasukuma waha wanyalu au watu wa mikoa ya kaskazini nimeajiri wazaramo wawili na wasukuma wawili yaani wazaramo ni wavivu kuliko maelezo kila mara wanaumwa siku ukienda bila kuwataarifu huwakuti

Mbolea ya samadi ni bora lakini ina wadudu wengi wanaoshbulia mazao au mnyauko

upande mmoja ambao nimeweka mbolea nyingi ya samadi mazao yamenyauka sana kuliko nlipo weka mbolea kiasi
Acha kuamini mambo ya Kizamani mkuu,
Mimi nililima mwaka Jana, hakuna cha mganga wala nini eka mbili nikajaza Fuso mbili,
Jiandae vizuri kwa changamoto za soko, tumia muda mwingi kufanya utafiti sokoni, unawezapata mazao shambani ila ukija sokoni ukapoteza,
Pia wachana kabisa na hao wazaramo, ikibidi usiweke hata mmoja,
Kaa vizuri na hao wasukuma, wanapiga sana kazi. jitahidi kufika site kila unapopata nafasi.
 
Acha kuamini mambo ya Kizamani mkuu,
Mimi nililima mwaka Jana, hakuna cha mganga wala nini eka mbili nikajaza Fuso mbili,
Jiandae vizuri kwa changamoto za soko, tumia muda mwingi kufanya utafiti sokoni, unawezapata mazao shambani ila ukija sokoni ukapoteza,
Pia wachana kabisa na hao wazaramo, ikibidi usiweke hata mmoja,
Kaa vizuri na hao wasukuma, wanapiga sana kazi. jitahidi kufika site kila unapopata nafasi.
kila siku nipo hapo/ni lazma niwapigie cm
 
Acha kuamini mambo ya Kizamani mkuu,
Mimi nililima mwaka Jana, hakuna cha mganga wala nini eka mbili nikajaza Fuso mbili,
Jiandae vizuri kwa changamoto za soko, tumia muda mwingi kufanya utafiti sokoni, unawezapata mazao shambani ila ukija sokoni ukapoteza,
Pia wachana kabisa na hao wazaramo, ikibidi usiweke hata mmoja,
Kaa vizuri na hao wasukuma, wanapiga sana kazi. jitahidi kufika site kila unapopata nafasi.
ulilimia wap? fuso uliuza bei gani
 
Duuuu hizo imani sikiu hizi zimetawala siyo tikiti tu
Nilifanya kautafiti kadogo tu kwa wakulima wengi wao wanadai hivyo hii dunia imekwisha aisee
Nilienda Lindi wakulima wa ufuta wanadai hivyo hivyo usipoweka dawa ya ulinzi imekula kwako,nikaenda kwenye mbuga za mpunga kwa wasukuma huko. Morogoro na Singida nikakutana na hizo habari pia yaani kwa kilfupi kilimo kwa sasa kimeingiwa na hizo imani mkuu
Swali je kama kila MTU anasema anaweka dawa ya kulinda anayeloga ni yupi? maana kila anaweka dawa anadai ni ya ulinzi tu, mlogaji ni nani sasa?😀😀😀😀😀
Hatari sana
 
roho? hebu nieleweshe tena kaka ila kama unaenda kqa mganga anakusaidia kulikinga shamba lako na wachawi unapotezaje roho
Kuanza kutegemea kinga ya mganga badala ya Yule Aliyeviumba vyote ndio kuiuza roho yako kwenye ushirikina...
Achana na hilo pumbazo ndugu...
 
Mtoa mada uko sahihi, kuna kipindi nililima vitunguu, heka 2, kabla sijaanza wazee waliniambia niweke tambiko, "mimi msomi bwana hayo mambo ya mizimu sifuati,"
Kitunguu ilimea vizuri kila mtu alinisifia, wakisema nimeshauaga umaskini, haloo kilichotokea wakati wa mavuno, Mungu ndo anajua na mimi,msimu uliofuata ilibidi nisikilize maneno ya wazee, na kweli nilitusua vyema sana although nililima heka moja baada ya mtaji kukata.
Haya mambo yapo aiseee, kama huamini sawa sawa.
 
Mtoa mada uko sahihi, kuna kipindi nililima vitunguu, heka 2, kabla sijaanza wazee waliniambia niweke tambiko, "mimi msomi bwana hayo mambo ya mizimu sifuati,"
Kitunguu ilimea vizuri kila mtu alinisifia, wakisema nimeshauaga umaskini, haloo kilichotokea wakati wa mavuno, Mungu ndo anajua na mimi,msimu uliofuata ilibidi nisikilize maneno ya wazee, na kweli nilitusua vyema sana although nililima heka moja baada ya mtaji kukata.
Haya mambo yapo aiseee, kama huamini sawa sawa.
ndo hivyo bro kama ww sio mchawi basi kila siku uwepo shambani na wana maombi maaana unweza kutumiwa panya ucku mmoja tu likaisha looote
 
ndo hivyo bro kama ww sio mchawi basi kila siku uwepo shambani na wana maombi maaana unweza kutumiwa panya ucku mmoja tu likaisha looote
Wacha kabisa, watu hawana experience hapa, wanaongea tuu.
 
Bwana asipo Linda mji,yeye alindaye akesha bure.Muombe Mungu , huwa analinda na kubariki kweli kweli
 
Nasikia eti shamba la matikiti haruhusiwi kutembelea mwanamke alokua kwenye siku zake? Hebu niweke sawa na hili.
 
Nasikia eti shamba la matikiti haruhusiwi kutembelea mwanamke alokua kwenye siku zake? Hebu niweke sawa na hili.

ni kweli ila c kwenda shambani shida ni kufanya kaz shamban wakati yupo kwene cku zake kwenda shamban hakuna shida ila asifanye kaz yyte shamban
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom