Usihadaike na porojo za humu wengi hatuko real .....so usijimalize kusema nipo kote kote.....ww hapo kote kote , kundi lako unalijua mwenyewe
Hahahahahahaha hili jibu limetoka kinyonge sanaajiwe gizani.
muendelee kuangalia tu
Ni qel mi nilipewa simu na mdada mmoja nione video yake alipokua Church but video ilipofika mwishoo nilichokiona Duh sikuamini aiseeee porn kama zote nililudisha simu ChapuImewezekana na hii ni kwa wafanya ibada na wasoma maandiko matakatifu tu
Kwanza niwatakie pasaka njema wakristo wote wa jf na duniani kote.
Kwa kipindi kirefu nimekuwa nikijaribu kufuatilia hili swala la wanawake wengi kupenda kutazama porn videos.
Uchunguzi wangu ulianzia Facebook ambapo watu hutoa nafasi za kuungwa kwenye magroup za hizo video chafu,Maana niligundua asilimia 90 ya walioweka namba ni jinsia kike.
Pia niaamua kuzama kwenye websites mbalimbali za xxx videos nikacheki takwimu zao zinaonesha visitors wengi ni wanawake..
Miguu ya kwenye avator yako inavutiaNipo kwenye asilimia moja iliyobakia
i love youUsihadaike na porojo za humu wengi hatuko real .....so usijimalize kusema nipo kote kote.....
Nadhani umeelewa
Tupo fit sana miti mwituni haifanani
Hamna kitu sikuizi mmekosa ubunifu ndomana wanawake wanajiogeza kizazi hiki yenu chomeka chomoa
Mkuu palipo waliofiti ...... dhaifu hawakosekani
Shkamoo bibiHeheheeee....Sasa kama nyie wanaume nguvu zenyewe kwishney...
Mnahangaika na karanga na mihogo mibichi bado mnachemka ulitegemea wajukuu zangu wa kike wafanye nini...Hamuwaridhishiiii
Nyinyi ndio tatizo mjukuu wangu..!!
Tafakari chukua hatua..!!
Basi dhaifu wengi na mliofit mmefichwa
hiyo tone ya kuuliza swali sasa..Kwa hiyo ulikuwa unatakaje mtoa mada
zeshchriss mbona jibu la kibabe hilo !! Sema wewe ndo umeona kidhaifu.Hahahahahahaha hili jibu limetoka kinyonge sanaa