Nilichogundua kutoka kwa mwamuzi Nassir Salim (Azam FC vs Simba SC) fainali ya Mapinduzi Cup

Naendelea kusema, haya ni mapya kwangu na sikuyajua kabla, sikujua kama mchezaji kuubetua mpira kwa miguu na kisha kuurudisha kwa kipa wake kwa kutumia kichwa ni kosa, lakini mchezaji huyo huyo kuupiga mpira moja kwa moja kwa kipa wake kwa kutumia mguu sio kosa, bila kujali kipa amekamata au hajakamata mpira kwa mikono. Hakika elimu haina mwisho. Hata hivyo nasisitiza sitayapokea moja kwa moja, nitayachunguza kwanza
Ukipata huo ufafanuzi wa hiyo sheria na kanuni ulete hapa jukwaani tuelimike wote.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Naendelea kusema, haya ni mapya kwangu na sikuyajua kabla, sikujua kama mchezaji kuubetua mpira kwa miguu na kisha kuurudisha kwa kipa wake kwa kutumia kichwa ni kosa, lakini mchezaji huyo huyo kuupiga mpira moja kwa moja kwa kipa wake kwa kutumia mguu sio kosa, bila kujali kipa amekamata au hajakamata mpira kwa mikono. Hakika elimu haina mwisho. Hata hivyo nasisitiza sitayapokea moja kwa moja, nitayachunguza kwanza
Sawa ni muhimu wote tunaendelea kujifunza!
IMG-20220114-WA0100.jpg
 
Nimeuliza swali lakini sijajibiwa bado. Mbona alipourudisha mpira nyuma, Manula hakuukamata kwa mikono ila refa akapiga filimbi ya kosa? Mimi nijuavyo kipa anachokatazwa ni kudaka/kushika mpira uliorudishwa nyuma kwa makusudi, lakini anaweza kuucheza kwa miguu

Jamaa ameqote hapo juu whether or not gk touches with hands…Kwa kiswahili ni kosa hata km akigusa au hajagusa kwa mikono.
 
Back
Top Bottom