YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,904
Nilichogundua hoja za vita ya Russia na Ukraine kwa Tanzania hatuna watu wengi wajuzi wa siasa za kimataifa wala upinzani wanaweza local politics tu.
Huoni Tundu Lissu au Mbowe wala Godbless Lema na Zitto Kabwe wakidadavua chochote kuhusu mgogoro wa Urusi na Ukraine na kutoa msimamo ! Kulikoni?
Nilichogundua wanaweza tu siasa za hivyohivyo zisizoeleweka za ndani ya nchi za nje hawaziwezi jambo wana idara za nje za vyama vyao
Huoni Tundu Lissu au Mbowe wala Godbless Lema na Zitto Kabwe wakidadavua chochote kuhusu mgogoro wa Urusi na Ukraine na kutoa msimamo ! Kulikoni?
Nilichogundua wanaweza tu siasa za hivyohivyo zisizoeleweka za ndani ya nchi za nje hawaziwezi jambo wana idara za nje za vyama vyao