mtemi tagallah
Senior Member
- Apr 4, 2015
- 101
- 57
Miaka iliyopita Niliwahi kuwa na uhusiano na bint aliyekuwa Mwanafunzi wa chuo Fulani ,Kisha uhusiano ukavunjika kutokana na yeye kuleta usaliti na kuanza uhusiano na mwanaume mwingine, Mimi nikamformat nikaendelea zangu na Harakati zangu.
Baada ya Kama Mwezi mmoja akanitafuta na kuomba turudi katika uhusiano ikiwemo kuniomba msamaha, Mimi nikamkubali uhusiano ukaanza upya tena ukanoga na kuanzisha malengo ya ndoa.
Sasa, Siku Moja akamuweka bint katika status yake ndugu yake ambaye hata kabla ya kumfaham yeye huyo bint tuliosoma naye na nilikuwa nikimfukizia sana,nilipo muona nikatafuta mbinu nimnase nikafanikiwa kupata mawasiliono yake, nikaanza kumfukizia tena, kilichotokea alirespond vizuri ila mwishoe akapanic alipo jua Tayari na uhusiano na ndugu yake (binamu yake) na kuahidi atamwambia na uhusiano lazima ufe, so akamwambia, jitihada za kumpoza zikagonga Mwamba, akakataa kabisa nikakosa pote, baya zaidi wa zamani bado namkubali, na faili nimeshachanganya??
Jf nimekuwa msomaji wa muda, ila kuna wadau watakao nisaidia kuyapanga mafaili ???
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya Kama Mwezi mmoja akanitafuta na kuomba turudi katika uhusiano ikiwemo kuniomba msamaha, Mimi nikamkubali uhusiano ukaanza upya tena ukanoga na kuanzisha malengo ya ndoa.
Sasa, Siku Moja akamuweka bint katika status yake ndugu yake ambaye hata kabla ya kumfaham yeye huyo bint tuliosoma naye na nilikuwa nikimfukizia sana,nilipo muona nikatafuta mbinu nimnase nikafanikiwa kupata mawasiliono yake, nikaanza kumfukizia tena, kilichotokea alirespond vizuri ila mwishoe akapanic alipo jua Tayari na uhusiano na ndugu yake (binamu yake) na kuahidi atamwambia na uhusiano lazima ufe, so akamwambia, jitihada za kumpoza zikagonga Mwamba, akakataa kabisa nikakosa pote, baya zaidi wa zamani bado namkubali, na faili nimeshachanganya??
Jf nimekuwa msomaji wa muda, ila kuna wadau watakao nisaidia kuyapanga mafaili ???
Sent using Jamii Forums mobile app