johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Kiukweli sikuelewa kabisa kwanini mwanasiasa na mfanyabiashara Shabiby anatembea na walinzi lukuki. Pia nikashangaa viongozi wa dini Rwakatare na Gwajima wanakuwa na walinzi wa kutosha pale madhabahuni wakati wakiongoza ibada. Juzi ndio nimeshangaa zaidi kusikia bilionea mkubwa duniani alikuwa akitegemea ulinzi wa mola wake tu. Ngoja niishie hapo maana bado nashangaa!