Niliasisi CHADEMA si kwa lengo la kutafuta vyeo - Edwin Mtei

ni vibaya sana kumtusi mtu hata kama hukubaliani na kile anachozungumza. makudi kama haya ni hatari kwa ustawi wa chama.me naaminihakuna aliye juu ya chama. na wau hawako cdm kwa sababu ya mtu fulani. watu wanataka mabadiliko ya kweli. wako tayari kumuunga mkono yoyote aliyetayari kuwafikisha wanapotaka iwe amezaliwa kabla, wakatiau baada ya uhuru
 
Hapo kwenye wekundu:

Kwani wanaotangaza kwamba watagombea urais kupitia CDM (Kama Zitto) wamesema kwamba watajiteua? Namsikia kila siku Zitto akisema "...kama nitapata ridhaa ya chama changu...." Hii inadhihirisha kwamba atatafuta ridhaa ya chama chake (CDM).

Hujamuelewa Mtei, yeye anazungumzia KUTEULIWA na SIO KUCHAGULIWA. Zitto anazungumzia KUCHAGULIWA kitu ambacho kwa Mtei hakipo.

Kifupi CHADEMA kuna wazee 10 ambao wao ndio husema nani atakuwa Mgombea Urais kwa Tiketi ya Cdm. Kumbuka kuwa hii ni kinyume na katiba ya CHADEMA juu ya mchakato wa kumpata mgombea Urais. Zitto kasimama kwenye sheria na Mtei kasimama kwenye ualuatan wa chama. Hapo ni udikiteta tu. Vyama vya kiukoo vina tabu. Eti 2015 tutachukua nchi, we Mtei toa pumba zako, Tanzania si kichwa cha mwendawazimu.
 
letDUDIGITE INAMCHANGANYA MZEE WETU...WALE MI MA IDIOT TU RELAX BABA HAWANA TATIZO WANATUMIWA WATAONDOKA TU...HATUWATAKI WANAFIKI
 
CHADEMA kuweni makini sana,kazi iliyopo mbele ya kujenga chama ni kubwa mno,lazima muwe na fikra za kuwafikia wananchi wote katika maeneo yote tanzania,mjue MAGAMBA wapo kila kona,wana mabalozi wa nyumba kumi nk,suala la Urais lisiwachanganye,kuna njia nyingi na bora sana za kuwahudumia watanzania sio lazima uwe rais.Watanzania tupo nanyi,msituangushe.CDM TUMAINI PEKEE KWA WATANZANIA.
 
CHADEMA kuweni makini sana,kazi iliyopo mbele ya kujenga chama ni kubwa mno,lazima muwe na fikra za kuwafikia wananchi wote katika maeneo yote tanzania,mjue MAGAMBA wapo kila kona,wana mabalozi wa nyumba kumi nk,suala la Urais lisiwachanganye,kuna njia nyingi na bora sana za kuwahudumia watanzania sio lazima uwe rais.Watanzania tupo nanyi,msituangushe.CDM TUMAINI PEKEE KWA WATANZANIA.

Akili hiyo hawana ya kuelewa kuwa unaweza KUJENGA NCHI BILA KUWA RAIS. No hawana kabisa. Kama ulikitegemea chama hiki kuikomboa Tanzania, kweli ukombozi uko mbaliiiiiiii. Hiki si chama ni UOZOOOOOOOO.
 
Inawezekana sana watu wengi tu ndani ya CDM wanautaka uraisi. Fikiria kesho Mbowe atoke aseme..kama ntapata ridhaa......, halafu jioni yake Lisu atoke naye aseme ...kama ntapata ridhaa...., na JJ naye keshokutwa atoke na aseme pia kama ntapata ridhaa.... kutaleta picha gani kwa wananchi? Pamoja na kwamba ni haki yao lakini ni ujinga kutumia haki yako kuwavuruga wananchi. Common sense will tell you where and when to say what. But at this point CDM leaders have better priorities than dreaming urais. Inamshangaza kila mwenye akili timamu kuona wakati viongozi wenzake pamoja na wananchi wanatafakari jinsi ya kuvishinda vikwazo na mauaji ya Polisi ili kuidhibiti CDM, mikakati ya Tendwa kukifuta CDM yeye anajitokeza kutumia haki yake kutangaza anavyoutamani urais.

Mkuu mimi nilimsikiliza JJ Mnyika kupitia Magic FM akisema kwamba hakuna tatizo kwa mtu yeyote kutangaza nia. Nadhani huo ndio msimamo wa Chama au?
 
Mwasisi wa CHADEMA Edwin Mtei amesema anaamini chama chake kitaingia madarakani mwaka 2015 lakini hilo haliwezi kutokea kama viongozi wake wataanza malumbano na kuwagawa wanachama kwa lengo la kutafuta uungwaji mkono wa Urais.

Amebainisha kuwa CHADEMA kwa sasa hivi ndiyo mkombozi wa wananchi waliochoshwa na utawala wa CCM hivyo ni vema viongozi wake wakatumia muda mwingi kukijenga chama hapa nchini.

Mzee Mtei amesema CHADEMA kina utaratibu mzuri wa kumpata mgombea wa Urais lakini kama viongozi wake wataanza kutoa kauli za kuwania vyeo hivyo kuna kila dalili ya kuzaliwa makundi yatakayokimega chama.

Mzee Mtei amesema yeye aliasisi CHADEMA si kwa lengo la kutafuta vyeo bali alishirikiana na wenzake ili kiwe kimbilio la wanyonge na kiwasaidie kuboresha maisha yao.

Mzee Mtei kwa kauli yake amesema ''Nimemsihi Zitto kuwa kauli yake ya kutaka kuwania urais inabomoa timu yetu kuliko kuijenga na nimemtaka asubiri mpaka chama kitakapoanza mchakato wa wa kumsaka yule atakayepeperusha bendera ya chama katika uchaguzi mkuu ujao''

Mzee Mtei amesema kuwa Dk Slaa aliteuliwa na vikao vya chama kugombea urais 2010 na ndiyo maana umoja na mshikamano ndani ya chama ulikuwa mkubwa kiasi cha kukifanya Chadema kipate idadi kubwa ya wabunge katika uchaguzi mkuu uliopita.

Mzee Mtei amesema pia alishauriana na viongozi wakuu wa Chama hicho Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa kwamba wakati huu si wa kuwaza Urais bali wa kukifikisha Chadema vijijini na mijini ambako wananchi wanahitaji ukombozi.

Mzee Mtei alimalizia kwa kusema..''Unaweza kutangaza nia ya kuwania Urais lakini tujiulize kwanini sasa? Kwanini tusiutumie muda mwingi kujenga timu ya kuiunganisha Chadema badala ya kuisambaratisha?

Source: DIRA ya Mtanzania.
....wazee wetu(wa kisiasa) wapumzike sasa...mzee madiba anatoa somo zuri kwao
...mzee anaonekana kujisikia kutamba kwa kauli yake"...nilianzisha chadema..."...waanzilishi wa chadema walikuwa zaidi ya 10...lkn pia kujitabanaisha kuwa alianzisha chadema ili liwe kimbilio la wanyonge waliochoshwa na ccm wakati yeye si wa ktk kundi la wanyonge (kabisa!!), inaonesha ni kwa kiasi gani sisi wa mtaani tunavyotumiwa na wa tabaka la juu kwa maslahi wanayoyajua wenyewe zaidi..lkn jambo moja kweli...wanyonge wa kweli wanaelekea kukamata hatamu za mov't...still pamoja na yote salute to u...mzee wetu mtei..!
 
Hapo kwenye wekundu:

Kwani wanaotangaza kwamba watagombea urais kupitia CDM (Kama Zitto) wamesema kwamba watajiteua? Namsikia kila siku Zitto akisema "...kama nitapata ridhaa ya chama changu...." Hii inadhihirisha kwamba atatafuta ridhaa ya chama chake (CDM).

Tambua kuwa kila chama kina utaratibu wake wa kutenda mabo mbali mbali ikiwemo mbio za kusaka urais. Licha ya ukweli kwamba ninampenda Zitto kwa sababu ninazozijua binafsi lakini kitendo chake cha kuanza kutangaza kugomea urais mapema kinakidhalilisha chama na kukifanya kionekane kama CCM
 
Zitto aluta continua. Tumechoshwa na umwinyi ndani ya CDM. We want changes. We want Zitto Zubeir Kabwe for presidency.
 
wapo watu very unresponsible wana uwezo mkubwa sana wa kujustify katika misingi ya haki za binaadamu kwamba ni sawa tu mtu katangaza nia ya kugombea urais wakati wowote ule. wapo wengi sana.
 
Back
Top Bottom