Comi
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 3,328
- 955
matamko yanazidi kuongezeka kutoka kwa huyu mzee kisa zitto ametangaza kugombea urais.yeye kama mzee hapaswi kuonyesha mapenzi kwa mkwe wake,yeye ni mzee wa chama.
kwa kauli yako unamaanisha amemsifia nani?maana hajamtaja mtu yeyote zaidi ya kutoa mapendekezo