Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,489
- 40,999
Kitu kikubwa kilichonifanya nimdharau kabisa Zito ni hii ya kauli ya kuonesha anavyohangaika na kuutaka Urais. Mtu ambaye hawezi kupima anachozungumza kina madhara gani, japo si kosa kutamka, lazima awe na upungufu mkubwa wa hekima. Zito hana hekima ndiyo maana hana uwezo wa kujua kauli za kumjenga na kumbomoa. Asiye na hekima hafai kuwa kiongozi mkuu.
Hapo kwenye wekundu:
Kwani wanaotangaza kwamba watagombea urais kupitia CDM (Kama Zitto) wamesema kwamba watajiteua? Namsikia kila siku Zitto akisema "...kama nitapata ridhaa ya chama changu...." Hii inadhihirisha kwamba atatafuta ridhaa ya chama chake (CDM).