Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,472
Umesoma mbeya
Shule gani ?
Nmesoma huko pia
Na tulkua tunaenda matema
Mbeya 1 hii..PHSS
Umesoma mbeya
Shule gani ?
Nmesoma huko pia
Na tulkua tunaenda matema
Oh my GodMbeya 1 hii..PHSS
bila shaka ww ni mpokea maarifa toka kwa mzee bukuku au njegiteJamani...kweli mnaangamia..enzi zile matron akuone umepakatwa na men uhahhahhaha....!uwiiii...mie nimeanza dudu la.yuyu form.6...aisee...!enzi za matema beach
consigliare
Oh my God
Pandahili pandahil shule yangu nakupenda sana
Pandahil pandahil ...
Ni kitovu cha elimu bora ...
Mara ya kwanza ufikapo pandahili ...
Utakutana na walimu wenye ujuzi
....
Unaukumbuka huu wimbo ...
Oohh my God , your my school mate
Zaman nlsoma hapo ordinary level
Sema nini manengelo...tuishie hapa
Sema nini manengelo
Madevu anakusalimu
Plus bruda
Teh ...
Tufanye hatujuani ...
hahaha aisee JF idumu
Niaje mazee
Hivi mazee ushawahi kosa mambo kwa manzi kisa umeshindWa kujiongeza?
Bwana ilikuwa darasa la saba tulienda tour.. Sasa mda wa kurudi nkabahatika siti ya mwishoni kabisa kwenye moja ya basi tatu aina ya costa mayai tulizokodi..
Safari ikaanza sasa kuna manzi mmoja alikuwa mkali tena alikua mgeni mgeni tu pale shuleni... Akasimama kwa mda mwisho akaangalia pale nyuma kwa vile ananijua mimi mpole akaja akaomba nimpakate.. Sikujivunga nkampakata.
Basi kwa ushamba wangu nikawa nahangaika kuhakksha chuma hakishiki moto sana.. Mida ya saa mbili hivi usiku binti kanilalia kifuani akaninong'oneza "ukitaka niambie kwa muda wako" mie sikuelewa nikaitikia okay nikalala zangu hadi tunafika saa nne usiku ule..
Miaka ikaenda weee niko zangu form 3 na ticha anaflow na hesabu zake.. Automatically kumbu kumhu za tukio la ile ziara zikanijia (vile sipatani na hesabu nilikuwa nawaza yangu tu)...
Ile nakumbuka ile kauli ya yule binti "ukitaka niambie kwa muda wako" nikaelewa sasa alikuwa anamaanisha nini kuniambia vile.. Bila kutegemea nikakurupuka kwa sauti ayaaaaaaaaaaaa!!!!...,.ticha akamute na darasa zima macho kwangu.
Nlikula bakora...
Hivi ushawahi poteza fursa kwa kutojiongeza namna hiyo..
hata mimi sikulala....ni vile tu nilikua bado nakuwinda, ningeanza utundu mapema ungenikimbia wewe,na itadumu kweli,
Unakumbuka ile safari ya kikazi Moro tukafika usiku sana....tukabahatika kupata chumba kimoja cha kulala?
Mpaka kunakucha nakodoa macho....bado najiuliza uliwezaje kulala?
hata mimi sikulala....ni vile tu nilikua bado nakuwinda, ningeanza utundu mapema ungenikimbia wewe,
it worked lakini
mambo mazuri hayataki haraka.
uwoga ulikuwepo kiasi, ukiwa ndani na mtoto mzuri lazima uwaze unaanzaje tena wakati bado unamfukuzia, sio mchezo....Hukosi cha kujitetea, unaniwindaje wakati kitoweo kilikuwa tayari ni wewe kula tu....
Labda useme ulikuwa na kawoga kako huko.....unakoroma kabisa.....
Umenikumbusha ,kuna manzi mmoja mlokole nilimfukuzia kuanzia form six mpka chuo sikufanikiwa. alikuwa akisoma Iringa .wakati nimemaliza chuo natafuta kazi akanambia nakuja dar kutembea tembea ila kesho yake nitaondoka. Akanambia nimtafutie gest.
Nikatafuta room pale Shakilango,saa 3 usiku nikamuacha nikarudi home. Asubuhi akasepa zake kwenda Dodoma.
Baada ya miaka mitano ameshaolewa ananiambia we fala nilikuletea k mpaka Dar ukaiacha ukaenda kulala kwenu. Niliumia nusu nilie
uwoga ulikuwepo kiasi, ukiwa ndani na mtoto mzuri lazima uwaze unaanzaje tena wakati bado unamfukuzia, sio mchezo....
hivi ningekula mzigo/kitoweo siku ile kazi zingeenda kweli kule?
kazi zinaenda na nanii pia tunaenda nazo,Kwani sasa kazi haziendi?
Malizia Lunch unasubiriwa huku
Pole mkuu,unaonekana hata darasani ulikuwa mzito kuelewa, neno dogo miaka mitatu, Theory simpaka sasa hujaelewa!Niaje mazee
Hivi mazee ushawahi kosa mambo kwa manzi kisa umeshindWa kujiongeza?
Bwana ilikuwa darasa la saba tulienda tour.. Sasa mda wa kurudi nkabahatika siti ya mwishoni kabisa kwenye moja ya basi tatu aina ya costa mayai tulizokodi..
Safari ikaanza sasa kuna manzi mmoja alikuwa mkali tena alikua mgeni mgeni tu pale shuleni... Akasimama kwa mda mwisho akaangalia pale nyuma kwa vile ananijua mimi mpole akaja akaomba nimpakate.. Sikujivunga nkampakata.
Basi kwa ushamba wangu nikawa nahangaika kuhakksha chuma hakishiki moto sana.. Mida ya saa mbili hivi usiku binti kanilalia kifuani akaninong'oneza "ukitaka niambie kwa muda wako" mie sikuelewa nikaitikia okay nikalala zangu hadi tunafika saa nne usiku ule..
Miaka ikaenda weee niko zangu form 3 na ticha anaflow na hesabu zake.. Automatically kumbu kumhu za tukio la ile ziara zikanijia (vile sipatani na hesabu nilikuwa nawaza yangu tu)...
Ile nakumbuka ile kauli ya yule binti "ukitaka niambie kwa muda wako" nikaelewa sasa alikuwa anamaanisha nini kuniambia vile.. Bila kutegemea nikakurupuka kwa sauti ayaaaaaaaaaaaa!!!!...,.ticha akamute na darasa zima macho kwangu.
Nlikula bakora...
Hivi ushawahi poteza fursa kwa kutojiongeza namna hiyo..
Latte my fav...kazi zinaenda na nanii pia tunaenda nazo,
nakuja bado nipo na 10 min....watasubiri.
nikubebee nini?
matema beach, beach moja matata sana.Jamani...kweli mnaangamia..enzi zile matron akuone umepakatwa na men uhahhahhaha....!uwiiii...mie nimeanza dudu la.yuyu form.6...aisee...!enzi za matema beach
consigliare
matema beach, beach moja matata sana.
Sio kama maji ya pwan ya chunvi.
Aisee wewe ndo ulikuwa falaa khaaKuna manzi nilimpenda kinoma nikamuimbisha sana, akaja kunielewa. ila akaniambiaga romance ruksa ila sex hakuna. kamanda nikakubali kishingo upande. Kuna siku kama mbili nilibaki peke angu wazazi na ndugu walisepa. manzi akaja katika mastories akasema anahitaji kuoga. Bafu na Choo vipo ndani, nikampeleka nikamuonesha nikasepa. Baada ya muda akaniita akaniambia "we bwege kweli unashindwaje kuniogesha mpz wako?". Nikajiona bwege, nikaanza kumuogesha ile natoka akanivuta akaniambia "niache ubwege mtoto wa kiume". Kiukweli nilikula mzigo kwa juhud za manzi.
NB: Kila master alipitia ktk uboya