Niliacha kwenda kanisani miaka 5 baada ya Nabii kumpa mdogo wangu mimba

Siasa Basi

JF-Expert Member
Jul 10, 2016
1,493
4,276
Jamani dunia hii ina mambo sana, wanadamu wamekuwa kama wanyama. Twende kwenye mada.

Tulizaliwa katika familia ya kikristo, mama na baba yangu wote walikuwa wakatoliki. Kuna kipindi mama yangu aliugua sana, tukampeleka hospitali lakini hali yake iliendelea kuwa mbaya. Siku moja tumekaa tukaona tangazo kwenye TV channel ten, leteni wagonjwa waombewe, vilema, viziwa, vipofu, wagonjwa ukimwi, kisukari n.k

Tukaona na sisi tuna mgonjwa nyumbani, kwa hiyo lile tangazo na mahubiri yalitusawishi kwenda kumuona huyo Nabii. Siku ya jumapili ilipofika fika tulikwenda wote kama familia kumpeleka mama kuombewa.

Tulikuta kanisa limejaa sana, watu kutoka sehemu mbalimbali walikuwepo. Waibaji wakubwa siku hiyo walikiwepo. Nabii huyu ni maarufu sana hapa Dar es salaam, na mpaka sasa yupo anaendelea na huduma. Baada kufika tulifurahi ibada sana, mama aliombewa akaanguka chini akaanza kulia na kutamka mambo ya ajabu.

Nabii akasema mngemchelewesha angekufa lakini Leo ndio muujiza wake umefika. Tulipomaliza maombi tukarudi nyumbani. Siku zilivyokwenda hali ya mama iliendelea kuimarika vizuri. Tukawa tunaendelea kwenda kanisani kila Juma Pili. Mwisho tukazoe na mama akaamia kabisa humo kanisani.

Nina mdogo wangu wa kike alikuwa anasoma kidato cha tatu, alikuwa Mrembo kweli kweli si mchezo bwana; maana hata mi kakaake ni handsome kweli napangawisha sana mademu huku kitaani. Mdogo wangu huyu mwanzo walikuwa wanaenda na mama kwa nabii kwenye maombi ya Jtano.

Chakushangaza huyu mdogo wangu alizidi sana kwenda kanisa hilo kupita wote. Ilifika wakati eti nabii anapiga simu nyumbani kupitia kwa mdogo wangu kumsalimia mama, wakati mama nae ana simu yake. Na wakati mdogo wangu akiongea na huyu nabii anakuwa na furaha kuliko kawaida.

Mtu mzima nikashitukia dili, nikamhuliza mdogo wangu kwani we na nabii mlizoanaje kwa kiasi hicho. Ananijibu unajua kaka nabii ametabiria Sijui nini na nini…....... Dah! Nikashangaa nikamdokeza mama, nikamwambia huyu binti yako na nabii kuna kitu kinaendelea hapa.

Mama aliposikia hivyo alinirukia na matusi juu, we mtoto umeisha hasi, unampa nafasi shetani kumsikizia mtumishia wa Mungu uongo na ujinga. Tena ukome nisije kukusikia tena, kwani utaki mdogo wako akaombewa na nabii ili afanye vizuri kwenye masomo yake? Aisee kwa majibu ya mama nikabidi nitulie tu nitazame movie.

Mdogo wangu alizidi sana kuongea na nabii, siku asipoenda shule lazima akashindie kwa nabii, nikimuuliza anasema nilikwenda kumsaidia mke wa nabii shughuli za nyumbani. Wakati huo baba ni mtu wa kusafiri sana yeye ajui kinachoendelea kati ya nabii na binti yake. Mama alikuwa akimsifia sana binti yake kwamba wokovu umekolea na neema imemshukia. Maisha yaliendelea kama kawa.

Siku moja nimetulia zangu nyumbani siku ya Jmosi namuona mdogo wangu anatapika na kulala sana, nikashitukia dili nikamwambia mama huyu mtoto wako naona kama ana mimba vile. Kama kawaida ya mama akaniwakia umempa wew hiyo mimba ni mchafuko wa tumbo na maralia yanamsumbua. Nikatulia. Mara akaanza utoro shule kisa anaumwa. Siku mama ananiita kwa aibu kubwa, kweli ulisema mdogo wako ana mimba tena mimba hiyo kampa nabii.

Kizaazaa kikaanza, Mimi nikaonekana mshindi kwa Yale niliyoyasema, wakati nabwatuka kwa hasira mama kimya, anasema Sijui nitamweleza nini baba yako. Ikabidi tumsubiri baba aje atoe maamuzi. Baba alipokuja, akapata habari siku hiyo kidogo watu walale nje . kesho yake bila kuchelewa tukaenda kwa Nabii. Kufika ofisini kwa nabii mhudumu akatupokea, tukamuuliza nabii yumo akasema yumo maana alijua ni wagonjwa.

Tukaingia ndani nabii kutoana akataka kukimbia ofisi yake. Baba yangu mstaarabu alichomwambia nabii wewe ni mtumishi wa Mungu ninakuheshim sana lakini kwa kitendo ulichomfanyia binti yangu lazima nikumalize. Nabii akaomba msamaha pale, mwisho baba akamwambia atunze huo ujazito na akijifungua amlee huyo mtoto na amusomeshe mdogo wangu mpaka amalize shule.

Nabii akakubali lakini akaomba tuitunze siri isije kufika kwa waumini wake, na sisi tukasema ni aibu kutangaza kitu kama hiki kwa nabii mkubwa kama wewe kubaka vibinti kidogo. kwa hiyo akamsomesha na kumlea mtoto wake. Kwa sasa huyu mdogo wangu anamaliza chuo mwaka huu.

Lakini tokea kipindi hicho nilikosa hamu na kanisa na kuwaamini hawa manabii. Nimeanza kwenda kanisani hivi karibuni baada ya kuamia kwangu na kuoa .

NB: Onyo usimwamini binadamu kwa asilimia 100℅. Mzazi kuwa makini na hawa manabii.
 
Jamani dunia hii ina mambo sana, wanadamu wamekuwa kama wanyama. Twende kwenye mada.

Tulizaliwa katika familia ya kikristo, mama na baba yangu wote walikuwa wakatoliki. Kuna kipindi mama yangu aliugua sana, tukampeleka hospitali lakini hali yake iliendelea kuwa mbaya. Siku moja tumekaa tukaona tangazo kwenye TV channel ten, leteni wagonjwa waombewe, vilema, viziwa, vipofu, wagonjwa ukimwi, kisukari n.k Tukaona na sisi tuna mgonjwa nyumbani, kwa hiyo lile tangazo na mahubiri yalitusawishi kwenda kumuona huyo Nabii. Siku ya jumapili ilipofika fika tulikwenda wote kama familia kumpeleka mama kuombewa.

Tulikuta kanisa limejaa sana, watu kutoka sehemu mbalimbali walikuwepo. Waibaji wakubwa siku hiyo walikiwepo. Nabii huyu ni maarufu sana hapa Dar es salaam, na mpaka sasa yupo anaendelea na huduma. Baada kufika tulifurahi ibada sana, mama aliombewa akaanguka chini akaanza kulia na kutamka mambo ya ajabu. Nabii akasema mngemchelewesha angekufa lakini Leo ndio muujiza wake umefika. Tulipomaliza maombi tukarudi nyumbani. Siku zilivyokwenda hali ya mama iliendelea kuimarika vizuri. Tukawa tunaendelea kwenda kanisani kila Juma Pili. Mwisho tukazoe na mama akaamia kabisa humo kanisani.

Nina mdogo wangu wa kike alikuwa anasoma kidato cha tatu, alikuwa Mrembo kweli kweli si mchezo bwana; maana hata mi kakaake ni handsome kweli napangawisha sana mademu huku kitaani. Mdogo wangu huyu mwanzo walikuwa wanaenda na mama kwa nabii kwenye maombi ya Jtano. Cha kushangaza huyu mdogo wangu alizidi sana kwenda kanisa hilo kupita wote. Ilifika wakati eti nabii anapiga simu nyumbani kupitia kwa mdogo wangu kumsalimia mama, wakati mama nae ana simu yake. Na wakati mdogo wangu akiongea na huyu nabii anakuwa na furaha kuliko kawaida.

Mtu mzima nikashitukia dili, nikamhuliza mdogo wangu kwani we na nabii mlizoanaje kwa kiasi hicho. Ananijibu unajua kaka nabii ametabiria Sijui nini na nini…....... Dah! Nikashangaa nikamdokeza mama, nikamwambia huyu binti yako na nabii kuna kitu kinaendelea hapa. Mama aliposikia hivyo alinirukia na matusi juu, we mtoto umeisha hasi, unampa nafasi shetani kumsikizia mtumishia wa Mungu uongo na ujinga. Tena ukome nisije kukusikia tena, kwani utaki mdogo wako akaombewa na nabii ili afanye vizuri kwenye masomo yake? Aisee kwa majibu ya mama nikabidi nitulie tu nitazame movie.

Mdogo wangu alizidi sana kuongea na nabii, siku asipoenda shule lazima akashindie kwa nabii, nikimuuliza anasema nilikwenda kumsaidia mke wa nabii shughuli za nyumbani. Wakati huo baba ni mtu wa kusafiri sana yeye ajui kinachoendelea kati ya nabii na binti yake. Mama alikuwa akimsifia sana binti yake kwamba wokovu umekolea na neema imemshukia. Maisha yaliendelea kama kawa.

Siku moja nimetulia zangu nyumbani siku ya Jmosi namuona mdogo wangu anatapika na kulala sana, nikashitukia dili nikamwambia mama huyu mtoto wako naona kama ana mimba vile. Kama kawaida ya mama akaniwakia umempa wew hiyo mimba ni mchafuko wa tumbo na maralia yanamsumbua. Nikatulia. Mara akaanza utoro shule kisa anaumwa. Siku mama ananiita kwa aibu kubwa, kweli ulisema mdogo wako ana mimba tena mimba hiyo kampa nabii.

Kizaaza kikaanza, Mimi nikaonekana mshindi kwa Yale niliyoyasema, wakati nabwatuka kwa hasira mama kimya, anasema Sijui nitamweleza nini baba yako. Ikabidi tumsubiri baba aje atoe maamuzi. Baba alipokuja, akapata habari siku hiyo kidogo watu walale nje . kesho yake bila kuchelewa tukaenda kwa Nabii. Kufika ofisini kwa nabii mhudumu akatupokea, tukamuuliza nabii yumo akasema yumo maana alijua ni wagonjwa. Tukaingia ndani nabii kutoana akataka kukimbia ofisi yake. Baba yangu mstaarabu alichomwambia nabii wewe ni mtumishi wa Mungu ninakuheshim sana lakini kwa kitendo ulichomfanyia binti yangu lazima nikumalize. Nabii akaomba msamaha pale, mwisho baba akamwambia atunze huo ujazito na akijifungua amlee huyo mtoto na amusomeshe mdogo wangu mpaka amalize shule. Nabii akakubali lakini akaomba tuitunze siri isije kufika kwa waumini wake, na sisi tukasema ni aibu kutangaza kitu kama hiki kwa nabii mkubwa kama wewe kubaka vibinti kidogo. kwa hiyo akamsomesha na kumlea mtoto wake. Kwa sasa huyu mdogo wangu anamaliza chuo mwaka huu.

Lakini tokea kipindi hicho nilikosa hamu na kanisa na kuwaamini hawa manabii. Nimeanza kwenda kanisani hivi karibuni baada ya kuamia kwangu na kuoa .

NB: Onyo usimwamini binadamu kwa asilimia 100℅. Mzazi kuwa makini na hawa manabii.
mkuu hongera kwa kuwa na shemeji nabii..
 
Hadith yako umekop sehem but inafundsha tambua Kuna siri nyingi tu za hao MANABII lakin raia wanaogopa kuzisema wasije pata laana kwa kua ni watumishi wa MUNGU.
Ongea kwa ushaidi nimeikopi wapi? Na uilete hiyo original. Sio kubwabwaji tu. Naomba uwilete hiyo hadithi hapa uliyoona huko.
 
Jamani dunia hii ina mambo sana, wanadamu wamekuwa kama wanyama. Twende kwenye mada.

Tulizaliwa katika familia ya kikristo, mama na baba yangu wote walikuwa wakatoliki. Kuna kipindi mama yangu aliugua sana, tukampeleka hospitali lakini hali yake iliendelea kuwa mbaya. Siku moja tumekaa tukaona tangazo kwenye TV channel ten, leteni wagonjwa waombewe, vilema, viziwa, vipofu, wagonjwa ukimwi, kisukari n.k Tukaona na sisi tuna mgonjwa nyumbani, kwa hiyo lile tangazo na mahubiri yalitusawishi kwenda kumuona huyo Nabii. Siku ya jumapili ilipofika fika tulikwenda wote kama familia kumpeleka mama kuombewa.

Tulikuta kanisa limejaa sana, watu kutoka sehemu mbalimbali walikuwepo. Waibaji wakubwa siku hiyo walikiwepo. Nabii huyu ni maarufu sana hapa Dar es salaam, na mpaka sasa yupo anaendelea na huduma. Baada kufika tulifurahi ibada sana, mama aliombewa akaanguka chini akaanza kulia na kutamka mambo ya ajabu. Nabii akasema mngemchelewesha angekufa lakini Leo ndio muujiza wake umefika. Tulipomaliza maombi tukarudi nyumbani. Siku zilivyokwenda hali ya mama iliendelea kuimarika vizuri. Tukawa tunaendelea kwenda kanisani kila Juma Pili. Mwisho tukazoe na mama akaamia kabisa humo kanisani.

Nina mdogo wangu wa kike alikuwa anasoma kidato cha tatu, alikuwa Mrembo kweli kweli si mchezo bwana; maana hata mi kakaake ni handsome kweli napangawisha sana mademu huku kitaani. Mdogo wangu huyu mwanzo walikuwa wanaenda na mama kwa nabii kwenye maombi ya Jtano. Cha kushangaza huyu mdogo wangu alizidi sana kwenda kanisa hilo kupita wote. Ilifika wakati eti nabii anapiga simu nyumbani kupitia kwa mdogo wangu kumsalimia mama, wakati mama nae ana simu yake. Na wakati mdogo wangu akiongea na huyu nabii anakuwa na furaha kuliko kawaida.

Mtu mzima nikashitukia dili, nikamhuliza mdogo wangu kwani we na nabii mlizoanaje kwa kiasi hicho. Ananijibu unajua kaka nabii ametabiria Sijui nini na nini…....... Dah! Nikashangaa nikamdokeza mama, nikamwambia huyu binti yako na nabii kuna kitu kinaendelea hapa. Mama aliposikia hivyo alinirukia na matusi juu, we mtoto umeisha hasi, unampa nafasi shetani kumsikizia mtumishia wa Mungu uongo na ujinga. Tena ukome nisije kukusikia tena, kwani utaki mdogo wako akaombewa na nabii ili afanye vizuri kwenye masomo yake? Aisee kwa majibu ya mama nikabidi nitulie tu nitazame movie.

Mdogo wangu alizidi sana kuongea na nabii, siku asipoenda shule lazima akashindie kwa nabii, nikimuuliza anasema nilikwenda kumsaidia mke wa nabii shughuli za nyumbani. Wakati huo baba ni mtu wa kusafiri sana yeye ajui kinachoendelea kati ya nabii na binti yake. Mama alikuwa akimsifia sana binti yake kwamba wokovu umekolea na neema imemshukia. Maisha yaliendelea kama kawa.

Siku moja nimetulia zangu nyumbani siku ya Jmosi namuona mdogo wangu anatapika na kulala sana, nikashitukia dili nikamwambia mama huyu mtoto wako naona kama ana mimba vile. Kama kawaida ya mama akaniwakia umempa wew hiyo mimba ni mchafuko wa tumbo na maralia yanamsumbua. Nikatulia. Mara akaanza utoro shule kisa anaumwa. Siku mama ananiita kwa aibu kubwa, kweli ulisema mdogo wako ana mimba tena mimba hiyo kampa nabii.

Kizaaza kikaanza, Mimi nikaonekana mshindi kwa Yale niliyoyasema, wakati nabwatuka kwa hasira mama kimya, anasema Sijui nitamweleza nini baba yako. Ikabidi tumsubiri baba aje atoe maamuzi. Baba alipokuja, akapata habari siku hiyo kidogo watu walale nje . kesho yake bila kuchelewa tukaenda kwa Nabii. Kufika ofisini kwa nabii mhudumu akatupokea, tukamuuliza nabii yumo akasema yumo maana alijua ni wagonjwa. Tukaingia ndani nabii kutoana akataka kukimbia ofisi yake. Baba yangu mstaarabu alichomwambia nabii wewe ni mtumishi wa Mungu ninakuheshim sana lakini kwa kitendo ulichomfanyia binti yangu lazima nikumalize. Nabii akaomba msamaha pale, mwisho baba akamwambia atunze huo ujazito na akijifungua amlee huyo mtoto na amusomeshe mdogo wangu mpaka amalize shule. Nabii akakubali lakini akaomba tuitunze siri isije kufika kwa waumini wake, na sisi tukasema ni aibu kutangaza kitu kama hiki kwa nabii mkubwa kama wewe kubaka vibinti kidogo. kwa hiyo akamsomesha na kumlea mtoto wake. Kwa sasa huyu mdogo wangu anamaliza chuo mwaka huu.

Lakini tokea kipindi hicho nilikosa hamu na kanisa na kuwaamini hawa manabii. Nimeanza kwenda kanisani hivi karibuni baada ya kuamia kwangu na kuoa .

NB: Onyo usimwamini binadamu kwa asilimia 100℅. Mzazi kuwa makini na hawa manabii.

Dah!polen sana ndugu zangu lakini kumbuka nabii ,mchungaji na wengine ni binadamu kama wewe na shetani huwa anawakamata sana ktk mambo kama hayo so yeye kufanya jambo kama hilo sishangai kabisa.Wewe pia unaweza kua na kitu Mungu alichoweka ndani yako lakini kwa kuwa si nabii na unatenda dhambi ka nabii na hujakaa karibu na Mungu ndo mana hukioni.

Wewe kuacha kwenda kanisani sbabu ya mtu ni jambo la ajabu sana ni kwamba unaenda kanisani kwa ajili ya mtu na si kwenda kwa ajili ya kuwa na ushirika na Mungu wako.Hukwenda kwa vile uliyaona ya nabii ya sirin yaliwekwa wazi lakini angekua anafanya siri usingejua na bado ungeenda kanisani.Hivo ninachokushauri siku nyingine hata mtu yeyote akikuuzi kanisani kuanzia mchungaji na waumini usiache kanisa shetani anatumia watu kuwaangusha wengine ili wakae mbali na Mungu na pengine hata kuamini unachoamini unaeza acha .

So kila mtu ana cha kusema mbele za Mungu siku ya hukumu kuanzia nabii atahukumiwa kwa matendo yake na wewe utahukumiwa kivyako si kwa na matendo yako na wala hutamwambia Mungu ni kwa sababu ya fulani au nabii.Tuwe macho sana na uhusiano wetu binafsi na Mungu na tusihukumu ili tusije hukumiwa maana hukumu ni ya Mungu.

So usiwaseme vibaya watumishi wa Mungu bali waombee ili watende wanayoyahubiri maana neno linasema si wote waniitao bwanabwana watakao uona ufalme wake so tuwe macho wote ni wanadamu hakuna malaika.Mungu ni wa upendo na hua anasamehe so sisi ninani tusisamehe wenzetu?Nina mengi mno lakini siezi maliza just take this in brief.Blessed.
 
Hadith yako umekop sehem but inafundsha tambua Kuna siri nyingi tu za hao MANABII lakin raia wanaogopa kuzisema wasije pata laana kwa kua ni watumishi wa MUNGU.
Midude mingine bwana, Kwaniñi usipite kimya kimya kabla ya kukurupuka kukomenti. lete hiyo hadithi hapa jukwaani kila mtu aisome na aifananishe na hii na sio kuropoka.
 
Jamani dunia hii ina mambo sana, wanadamu wamekuwa kama wanyama. Twende kwenye mada.

Tulizaliwa katika familia ya kikristo, mama na baba yangu wote walikuwa wakatoliki. Kuna kipindi mama yangu aliugua sana, tukampeleka hospitali lakini hali yake iliendelea kuwa mbaya. Siku moja tumekaa tukaona tangazo kwenye TV channel ten, leteni wagonjwa waombewe, vilema, viziwa, vipofu, wagonjwa ukimwi, kisukari n.k Tukaona na sisi tuna mgonjwa nyumbani, kwa hiyo lile tangazo na mahubiri yalitusawishi kwenda kumuona huyo Nabii. Siku ya jumapili ilipofika fika tulikwenda wote kama familia kumpeleka mama kuombewa.

Tulikuta kanisa limejaa sana, watu kutoka sehemu mbalimbali walikuwepo. Waibaji wakubwa siku hiyo walikiwepo. Nabii huyu ni maarufu sana hapa Dar es salaam, na mpaka sasa yupo anaendelea na huduma. Baada kufika tulifurahi ibada sana, mama aliombewa akaanguka chini akaanza kulia na kutamka mambo ya ajabu. Nabii akasema mngemchelewesha angekufa lakini Leo ndio muujiza wake umefika. Tulipomaliza maombi tukarudi nyumbani. Siku zilivyokwenda hali ya mama iliendelea kuimarika vizuri. Tukawa tunaendelea kwenda kanisani kila Juma Pili. Mwisho tukazoe na mama akaamia kabisa humo kanisani.

Nina mdogo wangu wa kike alikuwa anasoma kidato cha tatu, alikuwa Mrembo kweli kweli si mchezo bwana; maana hata mi kakaake ni handsome kweli napangawisha sana mademu huku kitaani. Mdogo wangu huyu mwanzo walikuwa wanaenda na mama kwa nabii kwenye maombi ya Jtano. Cha kushangaza huyu mdogo wangu alizidi sana kwenda kanisa hilo kupita wote. Ilifika wakati eti nabii anapiga simu nyumbani kupitia kwa mdogo wangu kumsalimia mama, wakati mama nae ana simu yake. Na wakati mdogo wangu akiongea na huyu nabii anakuwa na furaha kuliko kawaida.

Mtu mzima nikashitukia dili, nikamhuliza mdogo wangu kwani we na nabii mlizoanaje kwa kiasi hicho. Ananijibu unajua kaka nabii ametabiria Sijui nini na nini…....... Dah! Nikashangaa nikamdokeza mama, nikamwambia huyu binti yako na nabii kuna kitu kinaendelea hapa. Mama aliposikia hivyo alinirukia na matusi juu, we mtoto umeisha hasi, unampa nafasi shetani kumsikizia mtumishia wa Mungu uongo na ujinga. Tena ukome nisije kukusikia tena, kwani utaki mdogo wako akaombewa na nabii ili afanye vizuri kwenye masomo yake? Aisee kwa majibu ya mama nikabidi nitulie tu nitazame movie.

Mdogo wangu alizidi sana kuongea na nabii, siku asipoenda shule lazima akashindie kwa nabii, nikimuuliza anasema nilikwenda kumsaidia mke wa nabii shughuli za nyumbani. Wakati huo baba ni mtu wa kusafiri sana yeye ajui kinachoendelea kati ya nabii na binti yake. Mama alikuwa akimsifia sana binti yake kwamba wokovu umekolea na neema imemshukia. Maisha yaliendelea kama kawa.

Siku moja nimetulia zangu nyumbani siku ya Jmosi namuona mdogo wangu anatapika na kulala sana, nikashitukia dili nikamwambia mama huyu mtoto wako naona kama ana mimba vile. Kama kawaida ya mama akaniwakia umempa wew hiyo mimba ni mchafuko wa tumbo na maralia yanamsumbua. Nikatulia. Mara akaanza utoro shule kisa anaumwa. Siku mama ananiita kwa aibu kubwa, kweli ulisema mdogo wako ana mimba tena mimba hiyo kampa nabii.

Kizaaza kikaanza, Mimi nikaonekana mshindi kwa Yale niliyoyasema, wakati nabwatuka kwa hasira mama kimya, anasema Sijui nitamweleza nini baba yako. Ikabidi tumsubiri baba aje atoe maamuzi. Baba alipokuja, akapata habari siku hiyo kidogo watu walale nje . kesho yake bila kuchelewa tukaenda kwa Nabii. Kufika ofisini kwa nabii mhudumu akatupokea, tukamuuliza nabii yumo akasema yumo maana alijua ni wagonjwa. Tukaingia ndani nabii kutoana akataka kukimbia ofisi yake. Baba yangu mstaarabu alichomwambia nabii wewe ni mtumishi wa Mungu ninakuheshim sana lakini kwa kitendo ulichomfanyia binti yangu lazima nikumalize. Nabii akaomba msamaha pale, mwisho baba akamwambia atunze huo ujazito na akijifungua amlee huyo mtoto na amusomeshe mdogo wangu mpaka amalize shule. Nabii akakubali lakini akaomba tuitunze siri isije kufika kwa waumini wake, na sisi tukasema ni aibu kutangaza kitu kama hiki kwa nabii mkubwa kama wewe kubaka vibinti kidogo. kwa hiyo akamsomesha na kumlea mtoto wake. Kwa sasa huyu mdogo wangu anamaliza chuo mwaka huu.

Lakini tokea kipindi hicho nilikosa hamu na kanisa na kuwaamini hawa manabii. Nimeanza kwenda kanisani hivi karibuni baada ya kuamia kwangu na kuoa .

NB: Onyo usimwamini binadamu kwa asilimia 100℅. Mzazi kuwa makini na hawa manabii.

Ki sayansi binadamu ni category mojawapo ya categories za wanyama unao waona hapa duniani; mfano, macho mawili, masikio, skeleton, kula, kutembea, kuzaa, kujamiiana, damu, flesh, kupumua, na mambo kadha wa kadha!!
 
Mtu analala,akiamka "Mungu kanionesha mimi ni nabii" maono anayotoa hayana tofauti na ya ramli
Someni maandiko mpate maarifa wapendwa.. jifunzeni kutofautisha maono waliyotoa manabii wa biblia na ramli za hawa manabii uchwala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom