mukandarasi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2012
- 932
- 275
Inatia shaka kuanza kusikia kuwa umetokea uhaba wa tiketi katika treni iliyo anza kazi juzi! Kisha nauli kukusanywa kwa mtindo wa daladala.Kwahali ninashaka sana na wajanja wachache wanoweza kuitengeneza hali ya upungufu wa tiketi kwa faida yao.Nasema hivyo kwa uzoefu wangu uwanja wa taifa,pia tusisahau hali ilivyokuwa Feri kabla Mh,Magufuli hajingilia upande wa mapato na kuweka sawa.Sijui wana JF mnasemaje kwa uzoefu wenu?