ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,555
Masista duuh nouma sana
nimeipenda avatar yako kwani inaonesha wewe ni moja ya wale wa BBW...
Masista duuh nouma sana
Nimekuudhi? Uko kwenye mood mbaya leo?
Alafu mood iko poa ila afya mgogoro.
Pole na kinachokusumbua.
Je nikweli masister du hawapendi watu wajue kama wana watoto? kwani nimelisikia kwenye kituo kimoja cha redio nikaona niweke humu Jf ili masista du na wote mnaowajua masista du mtujuze kama kuna ukweli ndani yake
nawakilisha
Hapa bora mPMiane
Pole na kinachokusumbua.
Kwani ukisema umetoka shamba, inaonesha mood mbaya?
Lol! Nilikua nasubiri umuulize anaumwa nini!
duh, kaaazi kweli kweli
ila ngoja nitafute definition ya sista du!
Umekuwa disappointed?
Not really! Actually I'm never disappointed by pple other than meself
Kwani ajabu kupeana pole?
Mh. Kongasho kabla hujaishusha hiyo definition nisaidie nami langu ingawaje content yake itakua nje ya kamba hii (labda nimtangulizie advance opology muanzisha uzi) ni hivi : hapa Jf majukwaa yapo kibao lakini mimi najikuta mara nyingi nikiwa navinjari kunako majukwaa mengine akili hainipi kukaa sana huko najikuta tu hainichukua muda nisharudi MMU.
Na ndiyo jukwaa nalovinjari mno kupita mengine!.
Hebu nipe walau some hints hapa kunani ? Naweza thubutu kusema tukiyapa majukwaa u'celebritiy hili MMU litakua celebrity one ?
Ha haha, kuuliza swali hili ni sawasawa na kushangaa makofi polisi
au kushangaa matumizi ya mate posta, kulamba stamp
hili jukwaa ni celebrity of all celebrations
likifuatiwa na chit chat
hayo mengine labda ni ya mafungu
mie mwenyewe huwa ni mmu na chit chat tu
huko kwengine hadi ujisomeee weeeee uwe na mapoint
ntaweza wapi mie
kutwa kucha nakimbizana na mgambo wa jiji
huwa nawaonea huruma sana maana maisha ya picha yamenishinda kwakweli