Visacard
JF-Expert Member
- May 12, 2017
- 233
- 215
Sijawahi kunyooka kama leo wakuu. Hali yangu si nzuri kabisa yaani nimeishiwa vibaya mno. Hapa nilipo sina hata senti mambo yameniendea kombo
Kila kitu kimeisha hapa wakuu
Naombeni mnisaidie hata mnikopeshe elfu 5 tu inisaidie japo leo maana sijui naishije wakuu. Nimekopa kwa marafiki zangu mpaka naona aibu
Nilikua na hela kama laki 8 hivi nyumbani ndo nilipewa hiyo na mzazi ya kutumia home mambo sio mabaya lakini nikishapewa hizo ni hadi iishe miezi 3 ndo naweza pewa tena hapo natumiwa na ya ada sasa nimetapeliwa zote nimechanganyikiwa na home hawatonielewa
Naombeni mnisaidie ndugu zangu. Nipo serious ukiona nimekuja kuomba humu ujue limenifika ndugu zangu
Update:
Nashukuru sana kajitokeza mtu kanisaidia mungu ambariki sana
Nashukuruni nyote mlionitia moyo mungu awabariki
Kila kitu kimeisha hapa wakuu
Naombeni mnisaidie hata mnikopeshe elfu 5 tu inisaidie japo leo maana sijui naishije wakuu. Nimekopa kwa marafiki zangu mpaka naona aibu
Nilikua na hela kama laki 8 hivi nyumbani ndo nilipewa hiyo na mzazi ya kutumia home mambo sio mabaya lakini nikishapewa hizo ni hadi iishe miezi 3 ndo naweza pewa tena hapo natumiwa na ya ada sasa nimetapeliwa zote nimechanganyikiwa na home hawatonielewa
Naombeni mnisaidie ndugu zangu. Nipo serious ukiona nimekuja kuomba humu ujue limenifika ndugu zangu
Update:
Nashukuru sana kajitokeza mtu kanisaidia mungu ambariki sana
Nashukuruni nyote mlionitia moyo mungu awabariki