Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,586
- 112,629
Alaa kumbe!!Haaaaa Huyu jamaa yupo kwenye jukwaa lile la kubet aliomba kule wakakataa amekuja huku!!!!
Hahaaaa! Na unakuta anamiliki simu ghali tu.daah!kuna dogo alishindwa kusaidiwa kwa kua anamiliki simu
Yule mkorea alisema unamiliki simu,huna shida wewee vocha nani anakupa
Kwahiyo anaomba za kubet huh!!Haaaaa Huyu jamaa yupo kwenye jukwaa lile la kubet aliomba kule wakakataa amekuja huku!!!!
yaani alikua yatima anataka msaada wa kimasomo!sasa siku hyo kaenda anakoishi dogo kamkuta ana bonge simuHahaaaa! Na unakuta anamiliki simu ghali tu.
Anabet sana huyo ngoja watoe sadakaKwahiyo anaomba za kubet huh!!
Maana kubet nako ni uraibu tu kama wa madawa ya kulevya. Yale yalee ya raimundo.
daah!hebu acheni masikharaUlimpigia kura nani??
Ya makaratasi?Pole sana Mkuu chukua Laki mbili.
Hahahaaa! Akapata kisingizio.yaani alikua yatima anataka msaada wa kimasomo!sasa siku hyo kaenda anakoishi dogo kamkuta ana bonge simu
Akamuuliza km simu yake akakubali bas ikawa msala!
Ohoooooo!! Na ukute ashapata.Anabet sana huyo ngoja watoe sadaka
Ya Sarafu.Ya makaratasi?
mkuu unamzibia njiaHaaaaa Huyu jamaa yupo kwenye jukwaa lile la kubet aliomba kule wakakataa amekuja huku!!!!
mkuu unamzibia njia
Dada akailipe?Una dada?au demu wako,?nipe namba zao,hakuna cha bure,nakupa hyo hela ila nawee nipe hzo namba,
Eti jomoni ni hela ya kula au ya mkeka?Asanteni sana mungu awabariki sana
Mungu ambariki sana aliyejitoa kwa ajili yangu
Shukurani kwake
Nawashukuru mno