Alvin Slain
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 6,375
- 3,655
Habar wakuu Nia na madhumuni yangu napenda kusema kilichomo ndani yangu. si kwa ushabiki bali kwa nia ya dhati ya kuitumikia chadema. haijalish nina kiwango gani cha elimu ili niweze kuitumikia chadema Viongozi wa chadema wilaya,mkoa,taifa naomba muyasikie haya. au nimesema vibaya?