Ndugu wana JF ninaomba kama kuna mtu/watu ambao wako tayari kushirikiana na mimi ili tupate product made in Tanzania by tanzanian na iwe katika standard za viwango vya ulaya ili tukauze Ulaya!!
Mimi mwenyewe ninaishi Ulaya na ninafanya kwenye kampuni zao hapa Ujerunmaini kwa hiyo kama mtu au watu wako tayari nitakuwa tayari kuachana na hawa jamaa ili nilite hii technollogy nchini tuweza na sisi kutengeneza vitu vyetu for the worls market! Hii inawezakana kabisa
Here is my contact email: wabuyaga58@gmail.com
Nitafurahi kwa mawasiliano.
Mimi mwenyewe ninaishi Ulaya na ninafanya kwenye kampuni zao hapa Ujerunmaini kwa hiyo kama mtu au watu wako tayari nitakuwa tayari kuachana na hawa jamaa ili nilite hii technollogy nchini tuweza na sisi kutengeneza vitu vyetu for the worls market! Hii inawezakana kabisa
Here is my contact email: wabuyaga58@gmail.com
Nitafurahi kwa mawasiliano.