mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,160
- 22,615
Tukuyu mbeya???
Aende na kinga ya kale kauogonjwa
Tukuyu mbeya???
Aende na kinga ya kale kauogonjwa
Si kweli.Acheni unafiki. Mnawasifia tu huku kwenye mitandao ya kijamii ila mitaani mnawakashifu mkisema wamekomaa na mnawaona hawana status kama wanawake weupe.
Ingekuwa mnachosema hapa ndo mnachofanya mitaani wasingekuwa wanajichubua.
Wanawake weusi mbona wapo wengi tu tena hawajajichubua ila hamwutaki mnawaona wabaya.
Start practicing what you preach siyo kila siku kujiongelesha eti wanawake hawajipendi, wanajichubua.
I rest my case.