Niko tayari kufundisha Kung Fu, Judo, Karate, Taekwondo & Kick boxing muda ukiruhusu

Wameiba Kura

JF-Expert Member
Nov 9, 2010
390
3
wapendwa JF wa michezo ya kuchapana, toa shaka, kuanzia end of January 2011
muda ukiruhusu kuanzia saa 11 jioni hapa Dar, tunaweza ku organize na nikajitolea bure
to train you free, Kung fu + kung fu meditation, karate, judo, kick boxing na taekwondo hii ni muhimu
sana, najua kazi na masomo Msc Eng vinanibana but at least in a week tunaweza kupata 3 days for three hours sawa na masaa 9 kwa week, hii michezo itakupa nguvu mno, mno,
unaweza kumpiga mtu yeyote narudia yeyote kwa dakika 2 hadi 4 au 5 au unaweza kupigana na watu zaidi ya watatu at once wenye mazoezi na kuwagaragaza quickly, au kujihami nk
michezo hii inakujenga kisaikolojia na si lazima uwe flexible & tall labda kama mm ukiniona, la mtu wa umbo lolote anafit sana, meditation will transform you in another world of fighting, baada ya 3 months ukifanikiwa kuendelea na mazoezi, mtu hawezi kusimama mbele yako kwa mikono, dak 2-4 umeshamaliza mchezo saa nyingi, super fighters hawapigani muda mrefu hata siku moja labda akutane na super fighter mwingine like bruce Lee, ukimkosa atakimbia kama mbwa mwizi, hii ni muhimu si tu kwa kujihami pia kwa afya bora mazoezi muhimu. See you wapendwa
 
Mmmhh ningekuwa CUF ningelikutafuta! Kuna memba mmoja huyo anaitwa M Sugu anapenda karate
 
Mmmhh ningekuwa CUF ningelikutafuta! Kuna memba mmoja huyo anaitwa M Sugu anapenda karate

Rev usijali hata mm ni CDM ila hata ww unaweza kujifunza age kama haija enda sana, ni muhimu sana kwa afya na ukakamavu. utakula msosi mara mbili ya hapo unaokula na bado mwili uko safi, no kitambi, no what
 
wapendwa JF wa michezo ya kuchapana, toa shaka, kuanzia end of January 2011
muda ukiruhusu kuanzia saa 11 jioni hapa Dar, tunaweza ku organize na nikajitolea bure
to train you free, Kung fu + kung fu meditation, karate, judo, kick boxing na taekwondo hii ni muhimu
sana, najua kazi na masomo Msc Eng vinanibana but at least in a week tunaweza kupata 3 days for three hours sawa na masaa 9 kwa week, hii michezo itakupa nguvu mno, mno,
unaweza kumpiga mtu yeyote narudia yeyote kwa dakika 2 hadi 4 au 5 au unaweza kupigana na watu zaidi ya watatu at once wenye mazoezi na kuwagaragaza quickly, au kujihami nk
michezo hii inakujenga kisaikolojia na si lazima uwe flexible & tall labda kama mm ukiniona, la mtu wa umbo lolote anafit sana, meditation will transform you in another world of fighting, baada ya 3 months ukifanikiwa kuendelea na mazoezi, mtu hawezi kusimama mbele yako kwa mikono, dak 2-4 umeshamaliza mchezo saa nyingi, super fighters hawapigani muda mrefu hata siku moja labda akutane na super fighter mwingine like bruce Lee, ukimkosa atakimbia kama mbwa mwizi, hii ni muhimu si tu kwa kujihami pia kwa afya bora mazoezi muhimu. See you wapendwa

i real like the game...ila nimeanza kuwa na kitambi, si ntaumia sana kwa ajili ya hayo mazoezi?
 
i real like the game...ila nimeanza kuwa na kitambi, si ntaumia sana kwa ajili ya hayo mazoezi?

don't worry i will try to organize hapo End of Jan, sehemu hata open space Dar nafasi nyingi is matter of time, kuhusu kitambi, hata wale
miungu wa shaolin temple wengine wana vitambi kidogo hasa wale wazee waliobobea kimazoezi, na ni wakali sana, ila kumbuka physical exercises ikikukamata
vizuri kitambi kitaondoka kidogo kidogo au hata baadae ukiwa na kitambi kidogo kitakuwa cha mazoezi na utakuwa fit sana tu, na huta umia ni process kidogo kidogo then mwili wako wenyewe unaji tune stay connected
 
Umespecialize kwenye mchezo upi? Idadi unayotaja hapo inanipa shaka kama umefuzu vizuri. Nasema hayo kutokana na ninavyoielewa michezo hiyo kuhitaji uvumilivu.
Anyway kama kutakuwa na malipo niko tayari kufundisha kung fu.Nimefikia ngazi ya ushu. Tumasiliane.
 
napenda sana kurusha mateke ya juu juu, nadhani ndio hiyo kickboxing....ila nina kilo 93 nitaweza?
 
napenda sana kurusha mateke ya juu juu, nadhani ndio hiyo kickboxing....ila nina kilo 93 nitaweza?

Preta kilo 93 kitu gani? Ndani ya mwezi mmoja ninaweza kukupunguzia kilo 23 kisha tuanze mazoezi rasmi.
Usiwe na hofu juu ya uzito utatembea hewani kama Jet Li.
 
napenda sana kurusha mateke ya juu juu, nadhani ndio hiyo kickboxing....ila nina kilo 93 nitaweza?

We Preta hizo kilo umeziongeza na nini? Maana kama mimi nina under 60 nilikubeba vile wewe utakuwa na ngapi?

Nimeshawi kupitia mafunzo hayo kiwango fulani cha kawaida ila natamani kuendelea kujifunza siyo kuwaponda watu mtaani ni kwa ajili ya mazoezi na nidhamu zaidi
 
Preta kilo 93 kitu gani? Ndani ya mwezi mmoja ninaweza kukupunguzia kilo 23 kisha tuanze mazoezi rasmi.
Usiwe na hofu juu ya uzito utatembea hewani kama Jet Li.

haiiyaaa.....93-23=70......70-30=40........hakyanani.....tunaanza lini? pleez say soon
 
We Preta hizo kilo umeziongeza na nini? Maana kama mimi nina under 60 nilikubeba vile wewe utakuwa na ngapi?

Nimeshawi kupitia mafunzo hayo kiwango fulani cha kawaida ila natamani kuendelea kujifunza siyo kuwaponda watu mtaani ni kwa ajili ya mazoezi na nidhamu zaidi

tatizo uliniangalia kwa upande......ungeniangalia kwa mbele ndio ungeelewa......kwanza nataka nianzie gym kwa Nguli, hichi kitambi sijui kinaletwa na nini na mbege nimeacha, then nipitie kwa Isaac ndio nimalizie kwa Wameiba Kura.....kwa hiyo nina safari ndefu kidogo
 
tatizo uliniangalia kwa upande......ungeniangalia kwa mbele ndio ungeelewa......kwanza nataka nianzie gym kwa Nguli, hichi kitambi sijui kinaletwa na nini na mbege nimeacha, then nipitie kwa Isaac ndio nimalizie kwa Wameiba Kura.....kwa hiyo nina safari ndefu kidogo
pole. kabla ya wote hao, anzia kwangu. mi ndio nafanyaga refresher's courses
 
Umespecialize kwenye mchezo upi? Idadi unayotaja hapo inanipa shaka kama umefuzu vizuri. Nasema hayo kutokana na ninavyoielewa michezo hiyo kuhitaji uvumilivu.
Anyway kama kutakuwa na malipo niko tayari kufundisha kung fu.Nimefikia ngazi ya ushu. Tumasiliane.


Thanks Isaac for your interest na kukuona unajua at least what is Martial arts, hii michezo yote ni martial arts, na i am qualified & certificated BLACK BELT holder in Kung Fu & Taekwondo, na nipo ngazi ya mwisho in Mixed deluxe course ya karate, Judo ni mtaalum tangia form 5 in 2001, na mm nilianza hii martial arts tangia Arusha nikiwa form 2, hivi sasa nipo San Fransisco, CA, USA namalizia masomo narudi TZ mapema Jan, nilijifunza mchezo wa Kung fu as part time hapa USA na kupata Black belt ya Kung fu hapa, ila taekwondo nilimalizia China 2005 na ilinichukua miezi 2 tu hadi Black belt , mm pia nilikuwa the Vice president wa Taekwondo chama cha wanafunzi A-level 2002, so china ilinichukua muda mfupi tu na kumaliza, hivyo nipo safi kabisa, nazani Mungu akijalia kwa sbb pia nafanya kazi meanwhile nipo OUT hapo Dar, tutaonana with all my certificates na zawadi nyingi za martial arts tangia Sec schools hadi sasa. Then my skills in martial arts ww mwenyewe utasema YES, nina nguvu sana pia kutokana na umbo langu linanisaidia pia 6.8ft na 87kgs za mifupa na misuli ya mazoezi na nipo very very sharp & quick kama martial arts inavyotaka, nitajitahudi nifanikishe, ok
 
hahaa nimepiga sana karate pale msikiti wa mtambani..ntakuja kuongeza ujuzi usijali
 
Rev usijali hata mm ni CDM ila hata ww unaweza kujifunza age kama haija enda sana, ni muhimu sana kwa afya na ukakamavu. utakula msosi mara mbili ya hapo unaokula na bado mwili uko safi, no kitambi, no what

Umri upi ni mzuri kufanya mazoezi hayo!!
 
I am interested...tafadhali tujulishe mara ukianza,

Nimewahi kufanya karate kidogo pale zanaki kwa marehemu sensei bomani sasa nataka kurudi shule tena.
 
hii imetulia kaka, ukianza tuambie.tuko wengi so hiyo open space inabidi iwe kubwa.pia huwa inabidi kua na kibali cha kufanya hii michezo sehemu ya wazi so hopefully mambo yataenda kama yalivyopangwa
 
Wanabodi hasa mlioko Tanzania ni vyema kujifunza mbinu za kujilinda, at least mtapunguza kazi za polisi kufukuzana na vibaka wanapokwapua pochi na vitu vidogo hasa akina dada.

Mbinu za kujilinda siyo dhambi, iwapo nia siyo kutenda uhalifu.

Nafasi ndo hiyo mwenye kuitaka aitumie vyema.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom