Baba Mtu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2008
- 870
- 168
Mmmhh ningekuwa CUF ningelikutafuta! Kuna memba mmoja huyo anaitwa M Sugu anapenda karate
Out of point!!! (nnje ya mada!!!).
Inaonekana ungepewa kazi ya kugawa riziki, wale wapinzani wako wote usingewapa kwa kuwa wanapingana nawe. Tushukuru Mola kazi ya kugawa riziki anaifanya yeye mwenyewe, lau kama angemkabidhi binaadamu kazi hiyo ingekuwa kazi kweli kweliiiiii!!!