Elections 2010 Niko Santiago Bolivia, sikupiga kura

shilanona

Member
Oct 31, 2010
55
22
Mimi nilipitwa kidogo na huu uchaguzi kwani nchi niliyohamia iko kushoto kidogo na dunia na ni mtanzania peke yangu hapa.

Ebu nijulisheni nyie mliopiga kule huko USA, UK, kenya, Saudi Arabia, Japan na kwingineko, je upigaji kura ulikwenda vizuri? Je matokeo ya kura zenu yalitangazwa pale pale ubalozini (sehemu mliyopigia kura)? Kama hamkutangaziwa basi nayo yalichakachuliwa?

Serikali ifanye juu chini ili nami mwaka 2015 nipige kura huku huko na kusomewa matokeo.
 
Mimi nilipitwa kidogo na huu uchaguzi kwani nchi niliyohamia iko kushoto kidogo na dunia na ni mtanzania peke yangu hapa.

Ebu nijulisheni nyie mliopiga kule huko USA, UK, kenya, Saudi Arabia, Japan na kwingineko, je upigaji kura ulikwenda vizuri? Je matokeo ya kura zenu yalitangazwa pale pale ubalozini (sehemu mliyopigia kura)? Kama hamkutangaziwa basi nayo yalichakachuliwa?

Serikali ifanye juu chini ili nami mwaka 2015 nipige kura huku huko na kusomewa matokeo.
Santiago Chile; au La Paz Bolivia??
 
Mimi nilipitwa kidogo na huu uchaguzi kwani nchi niliyohamia iko kushoto kidogo na dunia na ni mtanzania peke yangu hapa.

Ebu nijulisheni nyie mliopiga kule huko USA, UK, kenya, Saudi Arabia, Japan na kwingineko, je upigaji kura ulikwenda vizuri? Je matokeo ya kura zenu yalitangazwa pale pale ubalozini (sehemu mliyopigia kura)? Kama hamkutangaziwa basi nayo yalichakachuliwa?

Serikali ifanye juu chini ili nami mwaka 2015 nipige kura huku huko na kusomewa matokeo.

nia yako ni kutujulisha upo latin america au nini......umechemsha.....Santiago na Bolivia nadhani hata wewe mwenyewe unaisikia tu ....watu tuko Mars na tumetulia...na uache uzushi....umesikia wapi waliopo nje ya tz walipiga kura...watz wenyewe hawakupiga kura nje ya sehemu waliyojiandikishia....acha kutuletea mambo ya upapasi hapa
 
Mkuu preta,
Nimeshindwa kukugongea ka-thenks sbb natumia mobile version. By the way comments zako made me lough!!!

Kuna post nyingine hapa jamvini, zinakufanya urilax na ucheke kidogo hasa baada ya kusoma zile za bifu la mzee wa vijisent na six...eti mtanzania yuko peke yake bolivia, duh!
 
Mkuu preta,
Nimeshindwa kukugongea ka-thenks sbb natumia mobile version. By the way comments zako made me lough!!!

Kuna post nyingine hapa jamvini, zinakufanya urilax na ucheke kidogo hasa baada ya kusoma zile za bifu la mzee wa vijisent na six...eti mtanzania yuko peke yake bolivia, duh!

ha ha...mimi nimekugongea.....asitusumbue huyu bana...Santiago Bolivia kitu gani....ramani yenyewe hata hajui
 
<H1 class=largetitle>Santiago (La Paz, Bolivia)

</H1>
bo.png

Santiago is a populated place in the La Paz region of Bolivia. An overview map of the region around Santiago is displayed below.
Search for hotels in or around Santiago
link_external.png


regional and 3d topo map of Santiago, Bolivia ::

Tatizo la Watanzania ni kujikita kwenye habari za nchi zilizoendelea pekee na kusahau geography ya nchi hizi ndogondogo hasa za America kusini. Bado naendelea kukuaminisha kuwa kuna Santiago hapa Bolivia, Damascus huko Maryland (USA) Birmingham huko Alabama (USA) na Moscow- Dar es salaam, Tanzania na kwingineko.
Lakini mada hapa ni je, nyie wenzangu mliopo nje ya Tanzania mlipiga kura?
 
Mimi nilipitwa kidogo na huu uchaguzi kwani nchi niliyohamia iko kushoto kidogo na dunia na ni mtanzania peke yangu hapa.

Ebu nijulisheni nyie mliopiga kule huko USA, UK, kenya, Saudi Arabia, Japan na kwingineko, je upigaji kura ulikwenda vizuri? Je matokeo ya kura zenu yalitangazwa pale pale ubalozini (sehemu mliyopigia kura)? Kama hamkutangaziwa basi nayo yalichakachuliwa?

Serikali ifanye juu chini ili nami mwaka 2015 nipige kura huku huko na kusomewa matokeo.

Sikuweza piga kura kwa kweli ile week ya uchaguzi nimekuwa kwenye mabara 3 kwa muda wa siku 8! Majukumu ya kikazi. Nafurahi kuona mabadiliko yanakuja pole pole, bila wizi wa kura nadhani sura ngeni za upinzani zingekuwa nyingi.

2015 nitapiga kura nikiwa mgombea ubunge kupitia upinzani

Mch Masa
 
<H1 class=largetitle>Santiago (La Paz, Bolivia)

</H1>
bo.png

Santiago is a populated place in the La Paz region of Bolivia. An overview map of the region around Santiago is displayed below.
Search for hotels in or around Santiago
link_external.png


regional and 3d topo map of Santiago, Bolivia ::

Tatizo la Watanzania ni kujikita kwenye habari za nchi zilizoendelea pekee na kusahau geography ya nchi hizi ndogondogo hasa za America kusini. Bado naendelea kukuaminisha kuwa kuna Santiago hapa Bolivia, Damascus huko Maryland (USA) Birmingham huko Alabama (USA) na Moscow- Dar es salaam, Tanzania na kwingineko.
Lakini mada hapa ni je, nyie wenzangu mliopo nje ya Tanzania mlipiga kura?
kweli baba nimestaajabu hata mimi mana nilikuwa najua Santiago ipo Chile tu,maana hata Lebanon kuna mji unaitwa Tripoli pia,Mwanza ndani ya Malawi
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom