Chokochoko
JF-Expert Member
- Oct 15, 2011
- 438
- 183
wapenzi niko njia panda sijielewi, mimi ni mama wa nyumbani kwa0sasahivi sifanyi kazi yaani sina kipato chochote
namtegemea mume wangu kwakila kitu leo mume wangu amesimamishwa kazi
hapa nilipo nategemea kujifungua muda wowote na
madeni0 kibao tunayo majukumu ndio hayo yanakuja, jamani niambieni
nafanyaje? Nimechanganyikiwa.
0
namtegemea mume wangu kwakila kitu leo mume wangu amesimamishwa kazi
hapa nilipo nategemea kujifungua muda wowote na
madeni0 kibao tunayo majukumu ndio hayo yanakuja, jamani niambieni
nafanyaje? Nimechanganyikiwa.
0