mpe kama unampenda ila kama huna future naye utaingia mkenge mana ni atakuganda huyo mpaka basiNishaulini mwenzenu,kuna mdada nilikutana nae kama miez mitatu, minne hv 26yrs na mie nina 30 now, na kua na mahusiano ya kimapenz..sasa amekuja na jambo anasema anataka nimpe mimba.anapenda kuzaa na mm..na kwamba yy ana uwezo wa kulea..je nimpe?
kwa umri wenu sio jambo la kutaka ushauri wa kuzaa .mpe mimba kama inapatikana kwa urais kama kinyes cha ngombe machinjono mpe ujazo wa kilo tano na mtoto wako umuite jf.kuna mdada 26yrs na mie nina 30 now,je nimpe?