Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
....
...
nahisis kuchanganyikiwa kabisa kabia. ingekuwa sio kuogopa hukumu labda ninge commit (......)
natafuta namna ya kujinasua naomba msaada wa kina uliozama ikibi reference za vitabu vya Mungu.
Ama kweli- ndoa ndoana! Pole sana kaka, kama u mtu wa dini kama unavyodai, hii ndoa ya kisirikali unaweza kuitengua tu bila 'kumkasirisha' Mungu. Inaonekana umenunua mbuzi kwenye kiroba. Nakushauri wewe na wanaume wengine wote kutumia style niliyotumia mimi kabla ya kuoa- andaa short list yako, chukua aliye top of the list ishi naye at least miezi sita kama probation period, kama unapenda package yake nzima- tangaza ndoa, kama analeta za kuleta, go back to your short list- NEEEEEEEEEXT!!
Usije ukazimia bure!hebu nitumie copy ya hiyo short list, nitaitumia kama template LOL