Da Asia
JF-Expert Member
- Sep 25, 2011
- 731
- 819
- Thread starter
- #81
Ameen Himidini.... Muumba yuko mbele yangu ndio maana niko hapa nilipo. Nimemtanguliza kwa kila hatua niliyotaka kupiga mbele.
Asante kwa ushauri wako.
Asante kwa ushauri wako.
^^
Asante kwa kunielewa Da Asia basi kama ni hivyo,,nakukumbusha tu wapo wanaume wengi wenye hitaji kama lako,la msingi usiwakubali upesi upesi na ikibidi wawekee vizingiti mwanzoni ili uwapime.
Take my note:
Mwanamke anaeweza kufikia kiwango hicho cha mafanikio yanayoshinda wanaume wengi.. ANATAFUTWA KAMA DHAHABU.
Usimuweke Mungu wako pembeni
^^