Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,953
- 93,931
Haswa...
Jamaa anajiita masikini ilihali kaweza kujiunga Jeiefu na kuweka posts! bila shaka anamiliki simu au tarakilishi...na kaweza nunua bundle
Hii ina maana somehow anaweza pambana na kanunua vitu luxurious kwa masikini wa kweli...
Jamaa anajiita masikini ilihali kaweza kujiunga Jeiefu na kuweka posts! bila shaka anamiliki simu au tarakilishi...na kaweza nunua bundle
Hii ina maana somehow anaweza pambana na kanunua vitu luxurious kwa masikini wa kweli...
Kwa hiyo nitembee kifua mbele huku nikiwa na matumaini kuwa siku moja nitakuwa "mtu fulani" sio!!