Ungesema hizo ni nguo za kike au za kiume, bei na mwisho ungeweka picha. Hapa hapa ingeweza kuwa moja ya flem yako ambayo haina kodi ya mwisho wa mwezi.
Kama unachoongea ni ukweli, napata picha kwamba ww sio mfanyabiashara, achana kabisa na biashara jaribu kitu kingine. Unawezaje kuagiza nguo China husijue soko lako wala utaziuza wapi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.