Kwa Mwanza sijui ila najua Iringa, kwa Iringa kuna mzungu hua anauza ng'ombe wa kisasa wa maziwa wenye mimba sh million 3.
Ng'ombe wake ni wazuri na wanatoa maziwa kwa wingi.
Naomba mawasiliano mkuuNo cyo asas ni mzungu mwngne ako na runch yke. Baba angu yy ndo alinunuaga ng'ombe kwake, kma utaitaji nkupe mawasiliano nae umchek
Nipe password ya huko iringa nataka nika chukue na Mimi mmoja mzuri.Kwa Mwanza sijui ila najua Iringa, kwa Iringa kuna mzungu hua anauza ng'ombe wa kisasa wa maziwa wenye mimba Shilingi million 3.
Ng'ombe wake ni wazuri na wanatoa maziwa kwa wingi.
Anaitwa kibebe mi nilinunua 3.5milNo cyo asas ni mzungu mwngne ako na runch yke. Baba angu yy ndo alinunuaga ng'ombe kwake, kma utaitaji nkupe mawasiliano nae umchek
Bro mabuki???Mkuu hapohapo Mwanza nadhani wilaya ya misungwi kuna Lunch kubwa inaitwa MABUKI ipo barabarani hapo utapata Ng'ombe,mbuzi ,wako vizur hutojuta
Mabuki ni ng'ombe wazuri kwa sura maziwa ni sawa na wakienyeji hata uwalishe vipiMkuu hapohapo Mwanza nadhani wilaya ya misungwi kuna Lunch kubwa inaitwa MABUKI ipo barabarani hapo utapata Ng'ombe,mbuzi ,wako vizur hutojuta
yeah ni kwel anaitwa kibebe, mzee wng alchukua apa ng'ombe wake ni wazur, ka uko na namba ya uyo kibebe mpatie uyo jamaa anayeitaj mana me mzeee wng nlmchek kumuliza izo namba hana kwa Sasa alizipotezaAnaitwa kibebe mi nilinunua 3.5mil