The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,108
- 115,847
Pole mpenzi, sote tunatendwa kwenye maisha...lakini tunassamehe na kuzidi kupenda na kutenda mema. Usiwaogope binadamu,yapaswa uwe karibu na watu walau wachache unaowaamini na kuwapenda. Inachosha akili na kuzeesha kuwa mpweke hivyo.ushauri wangu, tafuta marafiki wachache mnaoheshimiana na wanaompenda Mungu kama wewe,zungumza nao,shiriki kwenye activities kama lunch,dinner,movie au hata shopping na wao.Utajifunza mengi,utajiona mwenye thamani zaidi na wao pia wataona u rafiki mzuri. Mungu akutunze na akupe ushindi na akuondolee hofu zozote zile na zaidi akupe mwenza anayestahili mdada wa thamani yako.AMEN!
upo dadake na nanihii????????