Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,323
- 40,170
Ha ha ha ha haNa baridi yote hii?
Ha ha ha ha haNa baridi yote hii?
Nimeona kuna madem wakali!
Wapi ntawapata mazee
Mbona vitisho ndugu yangu?
Makambako iko mkoa wa Njombe na Njombe ni mojawapo wa mikoa inayoongoza kwa VVUWenyeji wangu ambao mko jf mnielekeze Chimbo zuri la gambe!
Na madem wakali wa kuondoka nao!
na mida ya jioni kuna kuwa na kuku wa kukaanga,,wakubwaaaa..wamenona😤😥Hapa njiapanda ya songea na mbeya pana vibanda utapata ugali wa moto na samaki safi sana
na hii baridi ya leo, vumilia tuWenyeji wangu ambao mko jf mnielekeze Chimbo zuri la gambe!
Na madem wakali wa kuondoka nao!
Mkuu umesoma Njoss?Makambako!! Kitambo sana enzi hizo kuelekea shule Njoss Kuna ubaridi flani hivi hatari sana!
Ndio mkuu
Analijua hili na ndo ameenda kusambaza, aungane na heshi sambaza ukimwi.Uwe tu makini wewe unayetaka machimbo Makambako, panaongozi kwa wingi wa maambuzi ya ukimwi duniani. Jitafakari, chukua hatua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenu huko?Makambako hakuna machangu ushindwe na ulegee
NdioKwenu huko?
Vijana wa NJOSS nawaona. Mi mkongwe wa enzi hizo ikiwa NJOSS boys tu O level. Nasikia ina A level siku hizi.Ndio mkuu
Ha ha haAnalijua hili na ndo ameenda kusambaza, aungane na heshi sambaza ukimwi.
Sent using Jamii Forums mobile app